Angalizo wababa: Mtoto wa kambo si wako, usitarajie haki zisizokuwa zako

Ralph Tyler

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
2,827
3,569
Ukiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.

Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.

Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!

Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
 
Kwa hiyo sasa hivi mmegeuza kibao kwa single mamaz wenye watoto wa kiume!!

Asee Mungu awatie nguvu wanamama wote walioachana na baba watoto wao kwa sababu zozote zile
Watoto wa kike wana moyo wa upendo, hata boyfriend wa mama huwa wanaambiwa wamwite "anko" na wanakubali kiroho safi.

Lakini mama naye awe makini kwani kuna wakati binti anaweza kumpa "anko" feelings za ukweli, na ukikuta anko baharia ndio hapo kuku na mayai zinaliwa.

Hakuna mvulana atakayeshadidia jidubwana linalonyandua mama yake!
 
Ukiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.

Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.

Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!

Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
🤣🤣🤣🤣Maisha yenye msingo wa mawazo vitu vingine tunajitafutia wenyewe ukute baba wa watu alikua na Afya yake nzuri tu mara matatizo yaKaanza baada yakuingia kwenye familia yenye kila aina ya vitimbi
 
What you say is absolutely true.

baba yangu mdogo aliwahi zaa na mwanamke enzi akiwa High School back in 1980's, baadae baba akaachana na huyo mwanamke tena wakapoteza mawasiliano kabisa.

Huyo mwanamke(mama mdogo) alihangaika sana kulea mtoto tena akiwa na mwanaume mwingine

mtoto amekua mpaka amefikisha miaka 40, kumbe yuko anahangaika kumsaka baba yake halisi.

Mtoto (wa kike) amekuja kumpata baba yake (baba mdogo) mwaka 2020 tena kupitia mitandao ya kijamii baada ya mama yake kumtajia jina la Ukoo la baba yake.

My sister huyo.mpaka wa leo tunawasiliana na upendo upo wa hali ya juu.

my take: usiwe na matarajio.makubwa sana na Manii ya mwanaume mwenzio. Fanya kama umebeti, afford to lose because you didnt fight for it
 
Back
Top Bottom