Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Ukiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.
Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.
Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!
Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.
Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!
Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.