Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,847
Reaction score
17,503
Kuna jamaa hapa mtaani ni likubwa miaka 31 Kuna kademu kake kana miaka 18 Sasa sijui imekuaje kamesema waachane Sasa Kuna mshikaji mwingine ndio anatoka nako haka kademu hapa mtaani Sasa huyu jamaa akaanza kukaa nastress na kulia

Yaani tupo nae hapa kijiweni anawaza mpaka kuoga haogi ananuka kikwapa wazee hivi mtu unawezaje kufanya ujinga kama huu Mimi na miaka yangu 28 siwezi kufanya huu ujinga yaani natamani hata kupanda makofi huyu braza
 
Kuna jamaa hapa mtaani ni likubwa miaka 31 Kuna kademu kake kana miaka 18 Sasa sijui imekuaje kamesema waachane Sasa Kuna mshikaji mwingine ndio anatoka nako haki kademu hapa mtaani Sasa huyu jamaa akaanza kukaa nastress na kulia

Yaani tupo nae hapa kijiweni anawaza mpaka kuoga haogi ananuka kikwapa wazee hivi mtu unawezaje kufanya ujinga kama huu Mimi na miaka yangu 28 siwezi kufanya huu ujinga yaani natamani hata kupanda makofi huyu braza
Sasa wewe mapenzi ya wengine yanakuhusu nini!?
 
Back
Top Bottom