Hivi huyu binti anafaa kuoa kweli?

Hivi huyu binti anafaa kuoa kweli?

Huyo anafaa kuolewa na google tu Mkuu...!!

Ni vigumu sana kumbadili tabia mtu wa aina hiyo..
 
Kuoa au kutooa ni maamuzi yako mwenyewe ila mambo mengine uwe muwazi kwa umpendeye ili ajirekebishe maana kila mwanamke hutokea katika mazingira tofauti, "Uzinzi haukubaliki duniani mpaka mbinguni"
 
Unataka aoshe vyombo kwani kaja kama housegirl?Anajielewa kujipa duties za mke wakati you are a mere 'girlfriend' ndio inaletaga majuto ukiachwa.
sasa kisabengo cha kuja gheto kwangu kakitoa wapi kama anajua sijamuoa?
 
Kuoa au kutooa ni maamuzi yako mwenyewe ila mambo mengine uwe muwazi kwa umpendeye ili ajirekebishe maana kila mwanamke hutokea katika mazingira tofauti, "Uzinzi haukubaliki duniani mpaka mbinguni"
poa mkuu
 
Huyo anafaa kabisa, weka ndani fasta mkuu, usichelewa wajanja watakuwahi, mwisho wa siku ubaki na manyoya

yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
 
sasa kisabengo cha kuja gheto kwangu kakitoa wapi kama anajua sijamuoa?
Amekuja kupata Dose..
Ukimwoa atafua,atapika atafanya kazi zote.Ni sawa na wewe ambavyo nafsi yako utakuwa nzito kubebeshwa majukumu ya mme.
Alafu kaja geto unampaje muda wa kupumua na kuchat?Usiwe mzembe.Sometimes ukiwa mzembe sana anafeel bored.Piga machine kisawa sawa akili itamjia tu.
 
Amekuja kupata Dose..
Ukimwoa atafua,atapika atafanya kazi zote.Ni sawa na wewe ambavyo nafsi yako utakuwa nzito kubebeshwa majukumu ya mme.
Alafu kaja geto unampaje muda wa kupumua na kuchat?Usiwe mzembe.Sometimes ukiwa mzembe sana anafeel bored.Piga machine kisawa sawa akili itamjia tu.
duh....anyway poa
 
Back
Top Bottom