Hivi huyu binti anafaa kuoa kweli?

Hivi huyu binti anafaa kuoa kweli?

Mimi ninaamini binadamu wa sasa ana mambo mengi sana kwa hiyo kuendana na hayo inabidi wote wawili myapunguze ili kuungana na kufanyakitu pamoja.
Je ni nani yuko tayari kuyaacha mambo yake kwa sababu kila mtu sasa ana kaduni kake kwa hiyo kumtoa inabidi uwezo wa Mungu uwepo zaidi
 
yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?


Mkuu wanaume ni wasimamizi wa wanawake, huyo mwanamke ni kumweka sawa tu kitabia kama unampenda lakini....anaweza kubadilika na akafaa kuolewa. Hakuna mtu asiebadilika kama akiwekew misingi mizuri. Kama unampenda utambadilisha na utamuoa.
 
shukuru uyo anakuja getto kuna ambao hawaji kabisa na matumizi unatoa
 
Kama umempenda kubaliana na hali hiyo na umbadilishe taratibu Tafuta video ya Atabadilika icheki mi imenitokea inspire sana nilikuwa na dem km huyo ila now naona anabadilika
 
Yan Swala Kama Hili Unakuja Kuuliza Hapa Acha Hata Vyombo Asioshe Keshakuona We Ni Bonge La,,,,,,,,....
 
yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
Mwanaume hua hamtuhumu mwanamke wake kama ulivofanya, eti anachati na mahawara zake!!! Halafu bado upo nae!? Waachie wanawake watutuhumu na kututolea kauli kama hizo huku maisha yakiendelea, but for a man to do that is the crime
 
yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
hafai
 
Bado hicho sio kipimo sahihi, wewe mwenyewe unatambua amekuja kwako kufanya nn?
 
Vile ambavyo utamtreat girl siku ya kwanza anakuja geto ndivyo atakavyozoea..!! Akija siku ya kwanza unampa hela akanunue chips...badala ya kupika mle..vyombo humwambii aoshe.. Game ikiisha unampa nauli hata kitanda hatandiki jua imekula kwako... Afuu demu huyo huyo ukute anaenda kwa mwana mwingine anaosha vyombo..anapiga deki..anapika..!! So jifunze next time usianze vibaya...
 
Kama wewe unayeishi hapo umeshindwa kuosha utamlaum vip mtu anayekuja na kuondoka ,tena anakuja ameoga na amependeza zake.
 
Back
Top Bottom