ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,953
- 13,880
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa kama unalijua ilo unauliza nini
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa kama unalijua ilo unauliza nini
mbona nini? maliziakwani upo gizani? Halafu mbona [emoji36] [emoji36] [emoji36]
Hujaona hiyo emoji ya mapovu shemmbona nini? malizia
JIBU UNALOYeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie, muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vipi maana hata simu yake mimi sitaki kuizoea.
Anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
HAPANA kwa herufi kubwa hafai kuoa.Yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie, muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vipi maana hata simu yake mimi sitaki kuizoea.
Anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
hahahahahahahah naona kuna kitu unanitafutaHujaona hiyo emoji ya mapovu shem
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahahahahah naona kuna kitu unanitafuta
ngoja kidogo jioni ifike leo ni j3
kwa hiyo wewe ndio mbeba mizoga iliyoshindikana mkuu?
Jamani,Sina ata mkokotenii lol[emoji3][emoji3]
Yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie, muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vipi maana hata simu yake mimi sitaki kuizoea.
Anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?