kwa hiyo wewe ndio mbeba mizoga iliyoshindikana mkuu?fanya fasta kunipa namza zake za simu mkuu, natanguliza shukrai za dhati

kama unga...mkuu,mtu wa hivi ambae yeye anajua kuchat tu unawezaje kuwa na future nae asee?
Halafu ww suala la kupata mke mwema siyo rahisi kama unavyofikiria.Kuna criteria nyingi.Kuna aina kuu mbili za wadada.Kuna wale wa kuoa na kuna wale wa kustarehe nao.Tabia zao ni parallelndio maana nikawashirikisha kwanza wadau kabla sijachukua maamuzi magumu ili watu wa human rights wasije lalamika baadae.
Chinekeh!Kusikojulikana
Mila za kiafrika zinasema mbebane kiholela hivyo, au ziko kwa ajili ya kumuongoza msichana na si mvulana?kwan mila za kiafrica zinasemaje?