Hivi huwezi mtu kugomea uteuzi?

Hivi huwezi mtu kugomea uteuzi?

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,681
Reaction score
18,588
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu Diwani Athumani na Katibu Mkuu wa CWT wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu diwani athumani na katibu mkuu wa cwt wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Unaweza ukafanyiwa vibweka hadi ukaimba kikwenu kikiwa na mchanganyiko wa haleluya nyingi sana.Unakataa uteuzi wa "the mighty one"?😂
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu diwani athumani na katibu mkuu wa cwt wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Weeewe usitake kuchekesha walionuna! Wewe hapo ukiteuliwa utakataa? Ukikataa kama mme mkeo lazima akukimbie!
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu diwani athumani na katibu mkuu wa cwt wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Kuna jamaa mmoja somebody ALI MASWANYA
Huyu jamaa aligomea uteuzi wa JPM ukuu wa wilaya..

Alipo ulizwa kwa Nini hakuonekana kwenye kuapishwa akajib simple kua kwa Sasa yeye Ni mwajiliwa wa TIGO TANZANIA
Inasemwa alifanyiwa figisu mpaka akaondolewa kazini

NB;
KWENYE KATIBA ZA THIRD WORLD COUNTRIES RAISI HAGOMEWI WALA HAKATALIWI JAMBO
 
Kuna jamaa mmoja somebody ALI MASWANYA
Huyu jamaa aligomea uteuzi wa JPM ukuu wa wilaya..

Alipo ulizwa kwa Nini hakuonekana kwenye kuapishwa akajib simple kua kwa Sasa yeye Ni mwajiliwa wa TIGO TANZANIA
Inasemwa alifanyiwa figisu mpaka akaondolewa kazini

NB;
KWENYE KATIBA ZA THIRD WORLD COUNTRIES RAISI HAGOMEWI WALA HAKATALIWI JAMBO
Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
 
Uteuzi wa rais ni wito wa kujitolea ktk maana yake iliyokusudiwa,yaani uongozi "kujitoa kwa ajili ya wengine"unapoitwa kujitolea halafu ukakataa ili ufanye shughuli zako nyingine tafsiri yake ni kama umeona hana maana na wala hastahili kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Unachotakiwa ni kukubali kwanza,kisha uombe kujiuzuru,tena kwa kutoa sababu za msingi kama kujiuguza au kilema cha kushindwa kutumikia nafasi,vinginevyo yatakukuta mengi.
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu diwani athumani na katibu mkuu wa cwt wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Ukigomea uteuzi wanakupokonya hata uliopewa zamani
 
Uteuzi wa rais ni wito wa kujitolea ktk maana yake iliyokusudiwa,yaani uongozi "kujitoa kwa ajili ya wengine"unapoitwa kujitolea halafu ukakataa ili ufanye shughuli zako nyingine tafsiri yake ni kama umeona hana maana na wala hastahili kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Unachotakiwa ni kukubali kwanza,kisha uombe kujiuzuru,tena kwa kutoa sababu za msingi kama kujiuguza au kilema cha kushindwa kutumikia nafasi,vinginevyo yatakukuta mengi.
Je Wana wasiliana na mm wakat wananiteua au hkn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom