Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 347
Naamini kuna watu humu huwa wanaoana kimya kimya alafu ni member wenzetu tu, hapa na tupo nao kwa miaka mingi lakini mbona hatupeani mialiko ya harusi?
Au wana jamiiforums huwa amuowagi au kuolewa
Au wana jamiiforums huwa amuowagi au kuolewa