Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,255
- 48,109
wadau huwa mimi nashindwa kuelewa utakuta mtu anaenda kutoa PESA kwenye ATM. Akishamaliza anaanza kuzihesabu. Hivi hata kama akizukuta zimepungua/ ongezeka atafanya nini wakati huo Bank inakuwa imeshafungwa.
Na huwa inakera zaidi maeneo ya mikoani yaani umesimama kwenye foleni halafu kila anayeingia anakuwa anafanya kamchezo hako bila kuzingatia kuna foleni kubwa inasubiri huduma.
Sijaelewa na huwa najiuliza bila majibu mtu kuanza kuhesabu pesa baada ya kutoa kwenye ATM.
Naomba wenzangu kama mna mawazo tofauti.
Na huwa inakera zaidi maeneo ya mikoani yaani umesimama kwenye foleni halafu kila anayeingia anakuwa anafanya kamchezo hako bila kuzingatia kuna foleni kubwa inasubiri huduma.
Sijaelewa na huwa najiuliza bila majibu mtu kuanza kuhesabu pesa baada ya kutoa kwenye ATM.
Naomba wenzangu kama mna mawazo tofauti.