Hivi huu mchezo bado upo?

Hivi huu mchezo bado upo?

ukuti ukuti wa meme
mwenzetu mwenzetu kagongwa kagongwa
na nini na nini na gari na gari

Sisi tuliimba hivi: ukuti ukuti wa mnazi wa mnazi ukiingia upepo wa tetema. mlipokuja nyie wa analog mkachanganya nyimbo mbili kwa moja kimbuzi na ukuti na wote mliimba hivyo hawa wa .com wanamjua tom n' jerry
 
Hahahaaaaaa. Watoto wa sasa ni kizazi cha play station,na nyinyi wazazi wao wa sasa ni kizazi cha kuendekeza date na michepuko na kushinda bar/grocery na pia kwenda misibani na madira badala ya kanga huku mkiwa mmejikwatua/jiremba vya kutosha.
kama ulikuwa unatafuta pa kuyasemea ?????? umeongea kweli mkuu unalia kimapozi make up isitoke
 
kuna mpangaji wetu alinifuma nacheza na mwanae alinitoa nduki
Huo mchezo kwa miaka hii hakuna mzazi ataevumilia yaani watoto wakianza kucheza tu atawatafutia shughuli nyingine maana sasa hivi digitali tofauti na those years watoto wote bila kujali jinsia walikuwa ndugu kutoka na misiingi iiyojengwa kuanzia wazazi mpaka viongozi wa serikali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom