miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Ukichanganya michezo yote hiyo ya utotoni na mfumo wa maisha tulipotea ndio maana bongo za kizazi hicho zilikuwa safi katika umeri mdogo yaani mtu ana miaka 8 anatumwa mjini kununua vitu na anarudi bila wasiwasi.
sasa hivi toto la miaka 12 ukimtuma dukani anasahahu ametumwa nini?