Shemela umemsahau padri mcharoNgoja nikusaidie kuwaita,
rev, Rev Benjamin, rev geo pet, Rev Kurwa Sadataley, Rev paul mlumbe, Rev. Kishoka pooo??
Kama hii niliyokuambia tupo wachungaji humu hukuiona?Horseshoe Arch mbona mada zako sijawahi ziona...zi wapi mkuu!?
Kweli shem, nilishamsahau huyu mtu. By the way pacha wangu yuko kimya sana, kulikoni??Shemela umemsahau padri mcharo
Neno la Mungu ni taa watanyooka tuNi ngumu kumbadilisha tabia za mtu kwa humu jf kwa sababu walio wengi wameshakakamaa hivyo hata hawanyoosheki.
Vumilia tu mkuu.
Jinsi ulivyo mrembo namimi nitakuja kuwa kondoo wako ili niwe nakula maziwa yako, i mean maziwa kwakoMkishaanzisha JF SPIRITUAL CHURCH mniambie. Nataka kuwa mama mchungaji
Hahaaa. kweli swahiba Ila itachukua muda.Neno la Mungu ni taa watanyooka tu
Kweli kabisa mkuu ila hadi maombi yawe ya nguvu.
Yupo shem 😀Kweli shem, nilishamsahau huyu mtu. By the way pacha wangu yuko kimya sana, kulikoni??
Msalimie sana aiseeYupo shem 😀