Hivi humu JF kuna wachungaji?

Hivi humu JF kuna wachungaji?

ChamaDola

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
3,431
Reaction score
2,804
Wakuu,
Hivi humu jukwaani kuna wachungaji wa kikristo kwa ajili ya kuwalea wana JF kiroho?

Kuna muda ninahisi kwa hali ilivyo humu hasa nikiangalia michango ya wana JF ,kabisa naona malezi ya kiroho yanahitajika.

Wachungaji wapo humu jamani...!?
 
Wakuu,
Hivi humu jukwaani kuna wachungaji wa kikristo kwa ajiri ya kuwalea wana jf kiroho?
Kuna muda ninahisi kwa hali ilivyo humu hasa nikiangalia michango ya wana jf ,kabisa naona malezi ya kiroho yanahitajika.
Wachungaji wapo humu jamani...!?
Tupo!
 
Mkuu, wapo ila nao wanachangia mada za kuchimbua mitaro.

Kwa hiyo, kulea watu kiroho humu JF mmmmmmmh, labda waje na ID mpya.

Ila izi hizi za kila siku thubutuuu, hawawezi.

Any way, ngoja waje wenyewe maana, nami nahitaji kujiunga kwenye dini.
 
Ghazwat ukimbahatisha mmoja ebu mtag hapa...jf needs heavy spiritual overhaul!
 
Shark kumbe wapo humu...!
Kuna haja ya Yesu kuwatumbua majipu kwa kukaa idle shetani akiendelea kujichotea roho katika ulimwengu wa mitandaoni!
 
Poise kama ni hivyo basi hakuna aliye salama kiroho na kiroho Bujibuji kumbe! Kazi kweli kweli sergio 5 bora hao wanadhuru mwili kuliko mapepo ya humu jf yanayoua roho
 
Poise kama ni hivyo basi hakuna aliye salama kiroho na kiroho Bujibuji kumbe! Kazi kweli kweli sergio 5 bora hao wanadhuru mwili kuliko mapepo ya humu jf yanayoua roho mshipa sawa
 
Wachungaji na masheikh wapo humu ila shetani amezidi nguvu.

Hata huko mtaani si wapo? Mbona maovu yamejaa
 
Back
Top Bottom