ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,431
- 2,804
Wakuu,
Hivi humu jukwaani kuna wachungaji wa kikristo kwa ajili ya kuwalea wana JF kiroho?
Kuna muda ninahisi kwa hali ilivyo humu hasa nikiangalia michango ya wana JF ,kabisa naona malezi ya kiroho yanahitajika.
Wachungaji wapo humu jamani...!?
Hivi humu jukwaani kuna wachungaji wa kikristo kwa ajili ya kuwalea wana JF kiroho?
Kuna muda ninahisi kwa hali ilivyo humu hasa nikiangalia michango ya wana JF ,kabisa naona malezi ya kiroho yanahitajika.
Wachungaji wapo humu jamani...!?