Dr. Welelo
Member
- Oct 14, 2012
- 13
- 8
Niko huku jijini Arusha lakini sina uhakika kama kuna wadau wa JF, kama kuna wadau wa JF basi wajitokeze tufahamiane na kubadilishane uzoefu.
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Niko huku jijini Arusha lakini sina uhakika kama kuna wadau wa JF, kama kuna wadau wa JF basi wajitokeze tufahamiane na kubadilishane uzoefu.
Nawasilisha.
Ahsante kwa taarifa maana huu ugeni huu unaweza kujikwa ukakosa wa kukunyanyua.'wamejaa tele kama kumbikumbi wa masika.
Cc: Arushaone, LiverpoolFC Mzee wa Rula, Filipo, Erickb52 na wenzenu..... Mgeni wenu huyooooo!!!!!!!!
Usukumani hatulimi Maharage sisi tunalima PambaTena ungewapelekea na zawadi ya Maharage , wangekupokeaje! Wanakula binz kama hawana akili nzuri !
ahsante sana nimeshakaribiaKaribu mkuu
Wapo sana tu..
La kuhusu Chuga afu usitie maguu ndani ya Uzi ! Mimba inaweza kukutoka (miscarriage)
Nway kwa vile reason nnaijua , acha nifunike jagi mtoto asieleweka Babaake nani apite !
La kuhusu Chuga afu usitie maguu ndani ya Uzi ! Mimba inaweza kukutoka (miscarriage)
Nway kwa vile reason nnaijua , acha nifunike jagi mtoto asieleweka Babaake nani apite !
Niko huku jijini Arusha lakini sina uhakika kama kuna wadau wa JF, kama kuna wadau wa JF basi wajitokeze tufahamiane na kubadilishane uzoefu.
Nawasilisha.
Tena ungewapelekea na zawadi ya Maharage , wangekupokeaje! Wanakula binz kama hawana akili nzuri !
Afu wewe mi nangoja tu ugeuke!