JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,089
- 14,969
Hakuna ubaya, kqmq pesa, IPO, we, ambae huna utaona shida, sasa Mungu kakubariki una ukwasi wa, kutosha, kutoa pesa, ili mchungaji apate Prado, au mwanasiasa apate v8, hakuna ubaya,Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .
Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia
Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida .
Tuitaje hili ? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha .