Mkuu uandishi wako unakera sana!
Nimewahi kusikia kuwa ukifanya mapenzi na mwadhirika wa ukimwi kwa muda mfupi(bila mchubuko kutokea) huwezi pata virus. Je nikweli?
Nimewahi kusikia kuwa ukifanya mapenzi na mwadhirika wa ukimwi kwa muda mfupi(bila mchubuko kutokea) huwezi pata virus. Je nikweli?
Hizo ni lugha za fb, huku jf ni kama kapotea njia vile?hata semina za uandishi sahihi wa kiswahili mbna zmetolewa sana humu we ulikua wapi?...'xaxa' 'xemina' ndo mdudu gani?
Wangese utawajua tu... Wanabana pua hadi kwenye keyboardsMmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa arna virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
hata semina za uandishi sahihi wa kiswahili mbna zmetolewa sana humu we ulikua wapi?...'xaxa' 'xemina' ndo mdudu gani?
Nimewahi kusikia kuwa ukifanya mapenzi na mwadhirika wa ukimwi kwa muda mfupi(bila mchubuko kutokea) huwezi pata virus. Je nikweli?
Mh! kuna vitu vingine sio vya kujaribu hata kama kuna ukweli.
kumaaamake umewaka tayari Mzazi kapime kama huto kimbia matokea
hata semina za uandishi sahihi wa kiswahili mbna zmetolewa sana humu we ulikua wapi?...'xaxa' 'xemina' ndo mdudu gani?
Dawa yake ni kuacha uzinzi full stop.Hata condom siziamiani kama kinga ya maambukizi ya VVU.
jaribu uone
Google usome acha uvivu mambo ya nimesikia ndio nini[/QU
Mkuu kama kila kitu uta-google, hakutakuwa na mada hapa jf. Pia mada ikiwa posted hapa ni elimu tosha kwa wengine pia
Kwani ukigoogle huwezi kuja kuanzisha mada kuhusu majibu uliyoyapata Huko google
Nimewahi kusikia kuwa ukifanya mapenzi na mwadhirika wa ukimwi kwa muda mfupi(bila mchubuko kutokea) huwezi pata virus. Je nikweli?