Nimewahi kusikia kuwa ukifanya mapenzi na mwadhirika wa ukimwi kwa muda mfupi(bila mchubuko kutokea) huwezi pata virus. Je nikweli?
Mmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa ana virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
hahhaahaaaaa! Hii comment imenifanya nicheke sana!Mmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa ana virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
Mate hayabebi virus vya Ukimwi labada kama yawe yamechanganyika na damu yenye virus!ndugu vrus hukaa kwenye sehemu zfuatazo damu, uteute wa me/ke na kias kidogo kwenye mate. ucdanganyke et mpaka msuguano
Mmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa ana virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
Mkuu uandishi wako unakera sana!Mmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa ana virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
pole....
Mmmh mkuu vp.....najua tayari ushafanya mkuyati na m2 unamuhic kuwa ana virus....sasa acha kufanya assumption kaa izo...we kaa hujamwamin m2 ...ucmwamin never....haya xaxa kwenye swali lako;bila mchubuko virusi haviwez kushift...kwa mawazo zaidi peleka swali lako jf doctorz.....afu mbona xemina nyingi zimetolewa khsu ukimwi we vp uko wap .....
Michubuko ambayo inaweza kuwa kinywani kwa muathirika nayo ina nafasi yake kwa virusi kukaaMate hayabebi virus vya Ukimwi labada kama yawe yamechanganyika na damu yenye virus!