Hivi hii tabia vijana wame itolea wapi

Hivi hii tabia vijana wame itolea wapi

Yaan una kuta kijana wakiume ana piga picha ana funua shati ana onyesha boxer for which reason au kavaa kata k kiasi kwamba akiinama makalio yapo njeee nashindwa kuelewa kabisa na unapo jaribu kumuelimisha kwa namna fulani una onekana mshamba

Af pia tabia ya kukatika yaani hii ndio sijawai elewa kabisa yaan wana shindana kukatika mbaya zaidi sasaiv wazazi mna waaachia watoto simu na simu ina onyesha kila kitu anapo ona watu wana fanya ivyo ana chukulia kawaida

Mfundishe mtoto wako wakike au wakiume ajue thaman yake katika jamii na zaidi ajue miiko yake kulingana na jinsia yake nini ana paswa kufanya na nini hapaswi kufanya mfundishe akiwa mdogo

Ni hayo tu
Wamezitoa kwa wazazi wao
 
Hiyo ya kulatika bila shaka wamejifunza kutoka kwa Mzee Mwandambo.

Hiyo ya kupiga picha huku wamefunua boksa nadhani wamekopi na kupesti kutoka kwa anko T.

Kuna hii ya kutingisha makebo watembeapo ambayo Kubwa la Maadui anaipromote kwa nguvu zote.

My take: watoto wetu wa kiume tuwafundishe vile ambavyo mwanaume anapanswa kuwa. Nukta, mwisho wa kunukuu 😎
 

Attachments

  • 1787811039194.jpg
    1787811039194.jpg
    43.3 KB · Views: 2
Wakati mwingine wazazi wanawalea watoto wao vizuri tu, lakini watoto wanaigana wanakutana na wenzao.

Kumbuka anayeiga siku zote humzidi yule anayemuiga.
sahihi,vitu kama hivyo huwa wanaviona kupitia social media kutoka ulaya na marekani kisha wanakopi hapo mzazi ni ngumu kumzuia asivione japo bado mzazi anawajibika kumfundisha mtoto ajue jambo lipi ni zuri na lipi ni baya
 
sahihi,vitu kama hivyo huwa wanaviona kupitia social media kutoka ulaya na marekani kisha wanakopi hapo mzazi ni ngumu kumzuia asivione japo bado mzazi anawajibika kumfundisha mtoto ajue jambo lipi ni zuri na lipi ni baya
Kijana wangu huwa namwambia asiwe mwepesi wa kuiga kitu/jambo bila kukipima mwenyewe.
 
Back
Top Bottom