Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,704
- 7,409
Halo JF habari mchanganyo.
Nimeishi na kuona watu baadhi wenye tabia hii kuhusiana na viatu vyao bila kujali ni vipya au vimeisha. Mtu hataki kuvaa kiatu inavyotakikana. Yaani anakanyagia tu, haswa sehemu za visigino haswa viatu vyenye kufunika na sio sendo.
Mwingine kiatu kipya kabisa wala hajali anakanyagia tu na Mara nyingi wenye hulka hii hawavai soksi.
Sasa najiuliza tabia hii ya uharibifu viatu sio ugonjwa kweli?
Nimeishi na kuona watu baadhi wenye tabia hii kuhusiana na viatu vyao bila kujali ni vipya au vimeisha. Mtu hataki kuvaa kiatu inavyotakikana. Yaani anakanyagia tu, haswa sehemu za visigino haswa viatu vyenye kufunika na sio sendo.
Mwingine kiatu kipya kabisa wala hajali anakanyagia tu na Mara nyingi wenye hulka hii hawavai soksi.
Sasa najiuliza tabia hii ya uharibifu viatu sio ugonjwa kweli?
