Hivi hii ni sawaa?

Nadhani mleta mada ndio muhusika. Naomba nikuulize: Angekua ni mama ako mzazi ungesema hivo? 2. Kati ya wewe na mumeo nani anatoa matumizi?? 3. Anaetoa mahitaji ya familia na anayehudumiwa nani anatakiwa kulalamika?? 4. Kumpikia mama kwe wako unaona kazi sana???? 5. Mumeo amechukua kitanda mlichokua mnalalia kampa mama ake alalie na wewe unalala chini???? 6. Umewahi kusikia mama mkwe wako ni mchawi???. Ukijijibu haya uatagundua kwanini watu husema HAKUNA KAMA MAMA. Angelikua baba mkwe wako ningepata mashaka maana wanaume hatuaminiki (maana ni ngumu mkamwana kumtongoza baba mkwe) lakini MAMA, MAMA, MAMA, MAMA. Hiyo ni chata nyingine. Usirudie huu upuuzi
 
Siongelei huo upande kabisaaaa, naongelea huo upande mwingine. Its better kila mtu aishi kwake, mtembeleane tu. Maybe kama hamna namna nyingine.
hapo inategemea na familia kila koo na tabia zake tumpe tu pole huyo dada
 
Wengi mnawatetea wamama lakini niseme si vibaya ila kuna baadhi ya makabila wamama ni kero kwenye ndoa za watoto wao, nimeshuhudia dada mmoja akikosa raha mama mkwe na ma wifi hawakatiki nyumbani, alafu hawamsaidii kazi wananyosha miguu tu, hii si sahihi kabisa.
 
Akafunge nn
 
 
espy sio hayajanikuta na uzoefu na hao watu dear ukiwajulia hawana shida ata kama wana matatizo yao ukiwachukulia kama wazazi wako waliokuzaa wenyewe wanajirudi
Ungekua karibu ningekununulia japo kasoda tu upoze koo ulichoongea nikweli kabisa mfano halisininao mimi kwa mama yangu mzazi mkwe wake yaani mke wa kakangu alimuomba amulee nikweli anamulea vizuri naanasaema namchukulia kama mzazi wangu nakuna mengine mama anafanya hadi sisi wanae tunamkosoa tunamwambia mama hapo sasa umebugi lakini shemeji wala hata angemtukana uwezi sikia kamrudishia hata siku moja shida dada zetu mnadeka sana umeshaingia kwenye ndoa bado tu unataka udeke kamavile uko kwenu looo
 
Sio busara mzazi kuishi kwa mwanao siku zote hizo na huna cha maana unachofanya. NARUDIA SIYO BUSARA. Haki ya kukaa unayo ila sio busara.
Amen.
 
Whatever is excellent ili mradi tu ndoa husika isivurugike
 
Sasa hapo mwanaume atafanya nn?????? Wote ni wanawake muhimu kwake??

Hapo ni kuondoka home saa11 asubuh unarud saa 5 usiku unalala
 
Mimi mzazi wangu namwambia ukweli....na nina uhakika hawezi kukaa kwqngu hata 1 week labda sijui itokee nini. Kwanza atakuwa anafanya nini?
Mh!! Aiseee!! Ama kweli kaz ya
Mdomo n kupayuka tu
 
Halafu inaonyesha wewe unawachukia Wakwe sio kwa kusapoti huko (jokin)
Siwachukii, kama anakuja kukaa kwa amani hakuna tatizo. Shida ni hizo figisu figisu zao. Alafu mtu ana kwake na kamuacha mumewe muda wote huo kweli!!!
 
mlipe tu mangi ndio nakunywa soda hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…