frank omary
Member
- Jan 18, 2019
- 39
- 9
- Thread starter
- #21
OOH ASANTE MKUU...YUPOGO WAPI SIKU HIZI?Inna anakusalimia mkuu!
Alafu mwajiri gani anajielezea maneno mengi namna hiyo??Hakuna mwajiri anaeomba pesa. Hao ni matapeli tu. Kula kona fasta.
Asije jinyea burenikwambie kitu, umelala upo ndotoni umeona choo, huo ni mtego
Mkuu hata hicho kiingilishi chenyewe huoni kina matege? Jiongeze mkuu, hatutaki kuona manyoya.Zajioni wana jamvi juzi nilituma maombi ya kazi somewhere ila leo nimepokea email yao sasa ichi kipengele cha kutuma pesa apa 10000 kama bond ni kweli au ndo kupigwa?View attachment 999235
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata hicho kiingilishi chenyewe huoni kina matege? Jiongeze mkuu, hatutaki kuona manyoya.
Sent using Jamii Forums mobile app