Hivi hii kweli au picha

Hivi hii kweli au picha

...kweli mkuu
Namba ndio inamaanisha hakuna utapeli?
Hata wale matapeli wanaotumaga meseji za "Ile Hela tuma kwenye namba ...., itatoa jina" si namba pia wanatumia kutapeli watu?
Cha msingi ni uone ofisi zao zilipo ujihakikishe kua ni kweli wana ofisi, na hizo kazi zipo kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom