Electro static hiyo mkuu yaani inatokea wakati wa msuguano flani hivi.
Wakati mwingine hata ukishika kitasa cha mlango unahisi kama kuna shot flani hivi.
Kifupi haina madhara kwa binadamu ila
kwa wale mafundi wa electronics walikuwa wanashauliwa kutumia ESD kit kukwepa kupiga shot vifaa wanavyotengeneza ila siku hizi hawazingatii hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.