Raia mtiifu
Member
- Apr 26, 2019
- 31
- 93
Amani iwe kwenu!
Naamini na nina imani kubwa sana na Jamii Forum kuwa hakuna changamoto isiyoweza kupata majibu yake hapa!
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.Wanaume wengi huwa tunavaa singlend ama wengine tunaita vest,nadhani hakuna mgeni wa hilo, ila kinachonileta kwenu leo nimekuwa nashangaa sana nikivaa singlend/vest wakati naivua kutoka mwilini kumekuwa na kama shot ya umeme kutoka kwny singlend zangu(yoyote kati ya nilizonazo).
Kuna wakati nikiwa kwenye giza unaona zile cheche kabisa na ule mlio wa cheche unatokea.Nimevumilia kwa muda hali hii lakini nimeona leo nililete hapa labda kuna wenzangu humu wamesha-experience jambo hili au kama kuna yeyote anajua sababu na kama kuna madhara yoyote ni vizuri akanisaida kutambua na kuwasaidia wengine kujifunza.
Ahsante!
Naamini na nina imani kubwa sana na Jamii Forum kuwa hakuna changamoto isiyoweza kupata majibu yake hapa!
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.Wanaume wengi huwa tunavaa singlend ama wengine tunaita vest,nadhani hakuna mgeni wa hilo, ila kinachonileta kwenu leo nimekuwa nashangaa sana nikivaa singlend/vest wakati naivua kutoka mwilini kumekuwa na kama shot ya umeme kutoka kwny singlend zangu(yoyote kati ya nilizonazo).
Kuna wakati nikiwa kwenye giza unaona zile cheche kabisa na ule mlio wa cheche unatokea.Nimevumilia kwa muda hali hii lakini nimeona leo nililete hapa labda kuna wenzangu humu wamesha-experience jambo hili au kama kuna yeyote anajua sababu na kama kuna madhara yoyote ni vizuri akanisaida kutambua na kuwasaidia wengine kujifunza.
Ahsante!