Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,811
- 110,060
ndio naamini hivyo na akiweka neno mrs au madame na jinsia yake isisadiki basi atakuwa na matatizo kichwani
Aisee!!!
Imani yako itakuponza siku...hii ni JF bibie mahali ambako vimbwanga hutokea
ndio naamini hivyo na akiweka neno mrs au madame na jinsia yake isisadiki basi atakuwa na matatizo kichwani
Hakuna kitu hao hiyo ni defensive mechanism yao tu! Wengi wao unaweza ukakuta ni wale ukiwatomasa kidogo tu hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kwenye kubanjuana ni watu wa kawaida sana na usikute ni watu wa miaibu aibu! Usitishwe na makelele yao mkuu Makomana kama unataka mmojawapo kati yao jilipue tu! Usitishike na ukubwa wa mkate dawa yake ni chai tu!
Shangaa na wewe... Wanadhan kila ID ya kike ni mwanamke!!
As hakuna sheria inayombana mtu kuwa na ID ya kike na yeye ni mwanaume na kuwa na ID ya kiume na yeye ni mwanamke.....
Kumbe na wewe ukiona mtu ameweka neno Mrs, Madame, Miss basi tayari unaamini ni mwanamke?
Au akiweka avatar ya mwanamke tayari unaamini ni jinsia ya kike?
...........ktk hali ya kawaida huwez kjiita jina la kike wakat ni mwanaume au labda uwe shemale
enheeeeeUko mbalo sana mkuu. Kuna mengi huyajui humu
enheeeee
kama yapi
Aisee!!!
Imani yako itakuponza siku...hii ni JF bibie mahali ambako vimbwanga hutokea
Subiri nimalizie, nakuja
ila inawezekana! Lakin mbona wana Id za kike na stor zao ni zakike?
Usichukulie jf seriously hivyo inawezekana wote hao ni vidume vya mbegu
nothing to comment
Hakuna kitu hao hiyo ni defensive mechanism yao tu! Wengi wao unaweza ukakuta ni wale ukiwatomasa kidogo tu hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kwenye kubanjuana ni watu wa kawaida sana na usikute ni watu wa miaibu aibu! Usitishwe na makelele yao mkuu Makomana kama unataka mmojawapo kati yao jilipue tu! Usitishike na ukubwa wa mkate dawa yake ni chai tu!
Evelny chumvi mbona hanaga makeke sana kama hao wengine.Mara nyingi kila nikiingia jf huwa najiuliza sana kuhusu hawa watu. Sijui wakoje? Mimi naona ni makokap sana waliokubuhu hata ukiingia kubanjuana nao inatakiwa mwanaume ujipange.. Kuna Lara1,Evelyn salt, Madame B, Miss Chagga na Nazjaz. Hebu ninyi wanajamvi kama mnaweza kusoma sycology ya mtu mnawachukuliaje hawa.