Hivi hawa watu mnafikiri wakoje?

Hivi hawa watu mnafikiri wakoje?

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,271
Reaction score
13,429
Mara nyingi kila nikiingia jf huwa najiuliza sana kuhusu hawa watu. Sijui wakoje? Mimi naona ni makokap sana waliokubuhu hata ukiingia kubanjuana nao inatakiwa mwanaume ujipange.. Kuna Lara1,Evelyn salt, Madame B, Miss Chagga na Nazjaz. Hebu ninyi wanajamvi kama mnaweza kusoma sycology ya mtu mnawachukuliaje hawa.
 
..usiamini sana maneno ya "kijiweni"
 
Usichukulie jf seriously hivyo inawezekana wote hao ni vidume vya mbegu
 
Hii ndo jf wasikutishe kwa maneno we kama unataka jiweke ila chunga kunamawili either vidume wenzako au wakawa hawajui chochote nao magogo tu so choice is yours
 
Mara nyingi kila nikiingia jf huwa najiuliza sana kuhusu hawa watu. Sijui wakoje? Mimi naona ni makokap sana waliokubuhu hata ukiingia kubanjuana nao inatakiwa mwanaume ujipange.. Kuna Lara1,Evelyn salt, Madame B, Miss Chagga na Nazjaz. Hebu ninyi wanajamvi kama mnaweza kusoma sycology ya mtu mnawachukuliaje hawa.
Unatishwa na maneno?
Mara nyingi watu ambao ni waongeaji ni weupe kabisa!
Methali hii ni muhimu!Ogopa maji yalio tulia!
 
Unatishwa na maneno?
Mara nyingi watu ambao ni waongeaji ni weupe kabisa!
Methali hii ni muhimu!Ogopa maji yalio tulia!

sio kwamba nawaogopa ila nafikir ni watu waliotumika a.k.a USED. Au makurumbembe
 
Hakuna kitu hao hiyo ni defensive mechanism yao tu! Wengi wao unaweza ukakuta ni wale ukiwatomasa kidogo tu hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kwenye kubanjuana ni watu wa kawaida sana na usikute ni watu wa miaibu aibu! Usitishwe na makelele yao mkuu Makomana kama unataka mmojawapo kati yao jilipue tu! Usitishike na ukubwa wa mkate dawa yake ni chai tu!
Mara nyingi kila nikiingia jf huwa najiuliza sana kuhusu hawa watu. Sijui wakoje? Mimi naona ni makokap sana waliokubuhu hata ukiingia kubanjuana nao inatakiwa mwanaume ujipange.. Kuna Lara1,Evelyn salt, Madame B, Miss Chagga na Nazjaz. Hebu ninyi wanajamvi kama mnaweza kusoma sycology ya mtu mnawachukuliaje hawa.
 
Last edited by a moderator:
Hii ndio nini tena?

Halafu una uhakika gani hao ni wanawake?

Shangaa na wewe... Wanadhan kila ID ya kike ni mwanamke!!

As hakuna sheria inayombana mtu kuwa na ID ya kike na yeye ni mwanaume na kuwa na ID ya kiume na yeye ni mwanamke.....
 
hahahahahaha kaangalia majina inamaana kuna madame wa kiume ulimwenguni na miss je

Kumbe na wewe ukiona mtu ameweka neno Mrs, Madame, Miss basi tayari unaamini ni mwanamke?

Au akiweka avatar ya mwanamke tayari unaamini ni jinsia ya kike?
 
Kumbe na wewe ukiona mtu ameweka neno Mrs, Madame, Miss basi tayari unaamini ni mwanamke?

Au akiweka avatar ya mwanamke tayari unaamini ni jinsia ya kike?

ndio naamini hivyo na akiweka neno mrs au madame na jinsia yake isisadiki basi atakuwa na matatizo kichwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom