pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,967
- 4,262
Hata mwenye simu ya milioni mbili utakuta matumizi ni yale yale sawa na mwenye Tecno
Whatsapp
Instagram
Jamiiforums
Kupiga picha
Nk
Jamiiforums
Kupiga picha
Nk
Upo sahihi mkuu sijaona tecno kali kama Wx3 inanifuta machozi ya tecno zembe zote nilizowahi kukutana nazoTecno camon CX 420k hii inamwonekano mzurii camera nzuri
Tecno WX3 150k hii ngumu imara bei chee!!.. camera kalii inakaa na charger.
Kwasasa hazipatika madukani na kama zipo nyingi fake!!
NB: tofautisha tecno WX3 na W3
For me!! Hizo simu sijutii
techno halaf fake?Tecno camon CX 420k hii inamwonekano mzurii camera nzuri
Tecno WX3 150k hii ngumu imara bei chee!!.. camera kalii inakaa na charger.
Kwasasa hazipatika madukani na kama zipo nyingi fake!!
NB: tofautisha tecno WX3 na W3
For me!! Hizo simu sijutii
Mkuu hata kama umefanikiwa sana usisahau kuna wanaolala njaa,usijisahau sanaTecno ndiyo simu gani mkuu tumia ata basi ka samsung j1 ase
Basi kaka naomba mimi hiyo boom j8,angalau nioshe na mimiHakuna kitu kama hicho mm nilisha tumia tecno ambayo nyinyi mnaona ndyo kali boom j8 lakini baada ya mda fulani ikaanza ukiitoa mfukoni unakuta imejipiga mara istaki nikaona ungese huo nikachukua mnyama samsung edge7 nakula maisha
😂😂😁Alhaji Tecno
Ukimkamata msukuma au mvaa shuka yeyote unauza mkuu tena hata ukitaka kuongeza bei.Sh ngapi unawaongeza? pia kumbuka simu ukishanunua thamani yake inashuka.
Mfano : leo nunua Tecno CA11alaf kaa nayo mwezi uone kama utauza bei uliyonunulia
Duuh..kumbe!Tecno hata watoe nini....ni simu za mabek tatu...
kwa io we una nunua simu ili ukitoa mbele za watu wakushtuke? bila shaka we ni mtoto wa shule.We mwenyewe upo kwenye kundi la watecno tu, hata ukiitoa hicho kisimu chako mbele za watu, hawastuki. Na sisi wa ios 8 tusemeje?
nilinunua CX Camon 380K 2016 km sikosei kipondi ziko hot,leo eti anasema ni 420K kapigwa huyucamon cx 420K ULIPIGWA PAKUBWA
CAMON CX NI 35OK BEI ELEKEZI
UNAWEZA PATA CHINI YA HAPO
Mkuu na wenye camon 8 ukipeleka wanakupa ipi na kucharge kiasigani na ni shingapi sehemu gani Tz?Eti upeleke tecno camon CX wakupe cammon 11 uwape na hela kidogo
Akili kumkichwa..
Tecno Camon 11 390k tecno camon CX 420k sasa hapo kubwa ni ipi????
nilinunua CX Camon 380K 2016 km sikosei kipondi ziko hot,leo eti anasema ni 420K kapigwa huyu
mimi nilinunua mwaka jana 350 mbeya ... huyu ndugu ameongopa hapa
kuna kitu kinaitwa consumer ignorance na bargaining power, hivi vinafanya wanunuzi kununua bidhaa moja katika bei tofauti tofauti. Kama alishindwa ku bargain vizuri na muuzaji akalialia vya kutosha basi ndio maana akauziwa bei kubwa au labda halivyotajiwa bei akujali sana yeye akalipa tu.nilinunua CX Camon 380K 2016 km sikosei kipondi ziko hot,leo eti anasema ni 420K kapigwa huyu
pointkuna kitu kinaitwa consumer ignorance na bargaining power, hivi vinafanya wanunuzi kununua bidhaa moja katika bei tofauti tofauti. Kama alishindwa ku bargain vizuri na muuzaji akalialia vya kutosha basi ndio maana akauziwa bei kubwa au labda halivyotajiwa bei akujali sana yeye akalipa tu.
Kipindi tecno saprk 2 zinatoka nilienda duka la tecno kuulizia ilikuwa 320k nikaendelea kuzunguka maduka mengine nikakuta sehem inauzwa 280k nikasumbuana na jamaa akaniuzia kwa ahilingi 260k, juzi ndugu yangu alinunua simu hiyohiyo laki tatu lakini nilishangaa maduka ya tecno wanauza simu bei kuliko wauzaji wengine. Nilikuwa najaribu kuwaelewesha jinsi gani uzembe wa mteja kwenye ku bargain anaweza kununua bidhaa kwa bei ya juu kwahyo tusimshambulie sana huwenda hawezi ku bargain au ni mtu asiyehoji bei ye analipa tu anachukua bidhaa anatembea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema labda phantom Z ndo kali kwa tecnoHakuna kitu kama hicho mm nilisha tumia tecno ambayo nyinyi mnaona ndyo kali boom j8 lakini baada ya mda fulani ikaanza ukiitoa mfukoni unakuta imejipiga mara istaki nikaona ungese huo nikachukua mnyama samsung edge7 nakula maisha
Wanapeleka wapi niwapelekeeEti upeleke tecno camon CX wakupe cammon 11 uwape na hela kidogo
Akili kumkichwa..
Tecno Camon 11 390k tecno camon CX 420k sasa hapo kubwa ni ipi????