Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 520
- Thread starter
- #41
pop1,spark 2 and spark 2 pro na , no youtube ni youtube gohatari sijui wana mpango ganiii
Na ni bei gan?? ๐๐๐
pop1,spark 2 and spark 2 pro na , no youtube ni youtube gohatari sijui wana mpango ganiii
Eti upeleke tecno camon CX wakupe cammon 11 uwape na hela kidogo
Akili kumkichwa..
Tecno Camon 11 390k tecno camon CX 420k sasa hapo kubwa ni ipi????
Unazungumzia simu kama hii au?
Gallery imeandikwa "Files" ina Google Go cleaner ndani yake.
Na file manager ipo ila utaipata ukifungua >>Settings>>Storage>>ExploreView attachment 966716View attachment 966717View attachment 966718
Kwa hyo mkuu tecno haitunzi chaji zaidi ya samsung?Mkuu bora umesema ukweli wenzako humu wanasemaga oooh tekno inatunza chaji bla bla nyiiiiiingi.
spark 2 260Na ni bei gan??![]()
Ni
Nitajie simu gani Kali kwa upande wa tecno mkuu?
Inatunza sana ,pengine kuliko simu yoyote duniani mkuu.Kwa hyo mkuu tecno haitunzi chaji zaidi ya samsung?
Tecno SA1Alaah! Kumbe ndio hii
Inaitwaje ?
Bei yake ?
Tecno zote zinafanana uwezo tofauti ni Camera tu.Siyo simu imara kabisa.Nazungumzia tecno spark
Inatunza sana ,pengine kuliko simu yoyote duniani mkuu.
Tecno camon CX 420k hii inamwonekano mzurii camera nzur
Tecno WX3 150k hii ngumu imara bei camera kalii inakaa na charger chee!!. Kwasasa hazipatika madukani na kama zipo nyingi fake!!
NB: tofautisha tecno WX3 na W3
For me!! Hizo simu sijutii









Hiyo Tecno WX3 Nisha wahi tumia ilikija kunikera kitu kimoja tuhh, ilizima hotspot gafla mpaka Leo huwa haifanyi kazi aise
Tecno mkuu.Samsung gani hyo?
Tecno mkuu.
Hahah na umeona ni kweli namaanisha ni techno mkuu?Hapo sawa mkuu,nilijua samsung,nilkitaka kukushtaki kwa jamaa jiweee
We mwenyewe upo kwenye kundi la watecno tu, hata ukiitoa hicho kisimu chako mbele za watu, hawastuki. Na sisi wa ios 8 tusemeje?Hakuna kitu kama hicho mm nilisha tumia tecno ambayo nyinyi mnaona ndyo kali boom j8 lakini baada ya mda fulani ikaanza ukiitoa mfukoni unakuta imejipiga mara istaki nikaona ungese huo nikachukua mnyama samsung edge7 nakula maisha