kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Hata screen tofauti hyo ni mnyama samsung
Alishozoea itel kuja tecno kapata wenge.Unazungumzia simu kama hii au?
Gallery imeandikwa "Files" ina Google Go cleaner ndani yake.
Na file manager ipo ila utaipata ukifungua >>Settings>>Storage>>ExploreView attachment 966716View attachment 966717View attachment 966718
Unazungumzia simu kama hii au?
Gallery imeandikwa "Files" ina Google Go cleaner ndani yake.
Na file manager ipo ila utaipata ukifungua >>Settings>>Storage>>ExploreView attachment 966716View attachment 966717View attachment 966718
Sasa hiyo simu au calculator??
Mkuu bora umesema ukweli wenzako humu wanasemaga oooh tekno inatunza chaji bla bla nyiiiiiingi.Mkuu sio kwamba hatupendi kutumia Samsung tatiz money
Sasa mkuu simu inaitwa "tecno cheche", unadhani kuna simu hapo?Nazungumzia tecno spark
Sasa mkuu simu inaitwa "tecno cheche", unadhani kuna simu hapo?
Hahah ndio lenyewe mkuu,hakuna kitu hapo.Hahahaha kumbe ndio jina lake hilo duh
Yaani unavyoisifia sumsung hata hiyo s7 edge utafikirii ni simu ya maana basi.Hakuna kitu kama hicho mm nilisha tumia tecno ambayo nyinyi mnaona ndyo kali boom j8 lakini baada ya mda fulani ikaanza ukiitoa mfukoni unakuta imejipiga mara istaki nikaona ungese huo nikachukua mnyama samsung edge7 nakula maisha
Ila tecno yenyewe sokoni inashindana na Itel tu,hahah.Yaani unavyoisifia sumsung hata hiyo s7 edge utafikirii ni simu ya maana basi.
Ni simu ya kissenge sana aisees hiyo na zote tu za sumsung
Nitajie simu gani Kali kwa upande wa tecno mkuu?Mkuu sio tecno zote mbovu zipo qalii
Simu yako imejaa sana Vitu punguza huoni inavyo load slowly! 😏😏😏😏Umeona hiyo?View attachment 966728
Hizoo n Tecno Spark 2 mkuuKuna tecno zimeingia hazina hata applicatins za gallery,fike manager etc
Ukiona simu ipo hvo basi ni pure android inatumia application za google...Kuna tecno zimeingia hazina hata applicatins za gallery,fike manager etc

hatari sijui wana mpango ganiii
Kuna tecno zimeingia hazina hata applicatins za gallery,fike manager etc
J1 ase???? Khaaaa...Tecno ndiyo simu gani mkuu tumia ata basi ka samsung j1 ase