MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,256
- 2,975
Ukiomba kibali kwa kazi fulani inayofahamika inakubalika, huwezi tumia mavazi haya bila kibali utachezea vitasaNimeshangaa sana kuona msanii huyu anazunguka akiwa amejiachia na mavazi ya kijeshi wakati Raia wa kawaida wasiokua maarufu wakivaa wanaambulia kipigo na pengine kesi za uhujumu uchumi....