Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,077
- 10,552
Kijana anakupoteza huyo anatak demu baadae apende hela zakoHamna shida mkuu nimeelewa ngoja nitafute hela tu
Kijana anakupoteza huyo anatak demu baadae apende hela zakoHamna shida mkuu nimeelewa ngoja nitafute hela tu
Wanasema ujana ni maji ya moto, kuna umri ukifika utahitaji mwenza lakini sasa huyo mwenza hakupendi tatizo ndio linapoanza apoNchi hii vijana wengi wanateswa na mapenzi
Sawa ngoja niendelee na hamsini zanguUnasubiri mpaka akuambie hakupendi ndio umuelewe? Matendo yake ni jibu tosha kuwa hakupendi. Achana nae kuwa bize na mambo yako.
Niwe radhi mkuu ni typing error matatizo ya keyboardHivi huwa mnarudia kusoma mnavyoviandika kweli?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
😅😅Badili mind kwanza ,tatzo umekariri mademu unakutana nao shule au chuo tuWanasema ujana ni maji ya moto, kuna umri ukifika utahitaji mwenza lakini sasa huyo mwenza hakupendi tatizo ndio linapoanza apo
Nikumuomba tu Mungu akuepushe na hayo matatizo lakini mapenzi jamani nyie acheni tuSiku ukifilisika demu anakuacha ,unaanz kuwa chizi ,Tongoza wengine mkuu wengi mno
mademu wa huku mtaani ni ngumu sana kumtongoza kwasababu huwezi jua anaishi na nani au ana mume au hana kuliko chuo maana kule mademu ni rahisi kujua kuwa ana mume au hana[emoji28][emoji28]Badili mind kwanza ,tatzo umekariri mademu unakutana nao shule au chuo tu
Siyo lazima aseme ananipenda ndio niamini lakini lile vibe lake unapokutana nae kwangu linamaana kubwa sanaUzi wako hamna mahala katamka anakupenda, wewe unauliza mapenzi ,mapenzi gani hayo sasa?
Bro sio kila mwanamke akikuchangamkia anakupenda ,huyo wako kiukweli HAKUPENDI ila anapenda the way unampa attention achana nae atakusumbua hata mkiwa kwenye mahusiano wewe ndio utakua mnyonge kwenye hayo mahusiano yeye atashika remoteSiyo lazima aseme ananipenda ndio niamini lakini lile vibe lake unapokutana nae kwangu linamaana kubwa sana
tafuta mshenga.peleka barua kwao.Jukumu la kusoma tayari nimeshalitekeleza tayari ndio namaliza mwaka huu.
Kuhusu kumuoa ni kweli nina nia ya kumuoa na wala si kumchezea maana pesa ninazo pia nina biashara zangu so pesa sio tatizo kwangu
Sawa kaka mimi nimeamua kukubali matokeo kuwa hanipendi ngoja niendelee na hamsini zanguBro sio kila mwanamke akikuchangamkia anakupenda ,huyo wako kiukweli HAKUPENDI ila anapenda the way unampa attention achana nae atakusumbua hata mkiwa kwenye mahusiano wewe ndio utakua mnyonge kwenye hayo mahusiano yeye atashika remote
Hivi unaweza kupeleka barua kwao bila idhini yake??? Akikataa je mbele ya wazazi wangu na wake si nitakuwa nimetia aibu [emoji23][emoji23] mbona tunaruka processes za mahusiano. Urafiki-uchumba-then ndoatafuta mshenga.peleka barua kwao.
ndo maana wewe nakwambia unataka kumtapeli.hzo hatua kaziweka nani mpaka iwe sheria?yeye ataamini vp kama kweli unataka kumuoa na sio kumvua nguo na kumchezea?FANYA VITENDOHivi unaweza kupeleka barua kwao bila idhini yake??? Akikataa je mbele ya wazazi wangu na wake si nitakuwa nimetia aibu [emoji23][emoji23] mbona tunaruka processes za mahusiano. Urafiki-uchumba-then ndoa
😂😂 anataka apige chini mtu ambae hata hajawa nae kwenye mahusianoMume wa mtu tena?
Okay tuchukulie ulimaanisha mke wa mtu, sasa ulimtongoza akakukataa na akakupa sababu yeye ni mke wa mtu na kusisitiza msimamo wake kakata mawasiliano na wewe inakuwaje unauliza kama Kuna mapenzi hapo?
We vipi wewe?