karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 774
- 1,272
[emoji120][emoji120][emoji120] Nakazia [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]dogo soma kwa bidii, ukimaliza kusoma kama hujabahatika kuajiriwa usikate tamaa ingia chaka pambana na mishe nyingine upate pesa, pambana kila siku upate pesa,tafuta pesa, wakati sahihi ukifika utapata mwanamke sahihi utaoa, acha mambo ya kitoto[emoji16]