Hivi hapa kuna mapenzi kweli ama?

Hivi hapa kuna mapenzi kweli ama?

Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye??Maana hapa kama nipo njia panda hivi

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mke maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
wanafunzi bana
 
dogo soma kwa bidii, ukimaliza kusoma kama hujabahatika kuajiriwa usikate tamaa ingia chaka pambana na mishe nyingine upate pesa, pambana kila siku upate pesa,tafuta pesa, wakati sahihi ukifika utapata mwanamke sahihi utaoa, acha mambo ya kitoto
Ndio kaka kutafuta pesa muhimu sana
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye??Maana hapa kama nipo njia panda hivi

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
Kuna mtu upo kwenye mahusiano na yeye hivo siku ukiona ameanza kukushobokea ujue kule amepigwa chinii

cha msingii wee mupee mda msikilizie tuu, ipo siku atajiset mwenyewe

NB, tafuta mwingine huo akija , akute kuna mwenzie na wewe umuchunie
 
Kuna mtu upo kwenye mahusiano na yeye hivo siku ukiona ameanza kukushobokea ujue kule amepigwa chinii

cha msingii wee mupee mda msikilizie tuu, ipo siku atajiset mwenyewe

NB, tafuta mwingine huo akija , akute kuna mwenzie na wewe umuchunie
Nashukuru ndugu !! Ila kuna jamaa mmoja apo juu amenishauri nitafute hela kwanza halafu wanawake watajileta wenyewe
 
Sio Dah sorry mkuu ni typing error ila nimesharekebisha
Nimekuelewa..

Ila mkuu mke wa mtu ni mtamu lakini siku ukikamatwa na mumewe anakua mchungu sana .

Achana nae haraka sana. mbona mabinti wabichi na ambao hawana watoto wapo ndugu, tafuta binti mmoja mbichi ambae injini haijashushwa wekeza huko akili zako na sio hisia. Akili zikikuambia weka ndani fanya chapu ndoa ni BARAKA,

Ila hakikisha akili ndiyo inayo kuambia weka ndani na siyo hisia.


Huyo mke wa mtu kuhusu kutofuta namba zako isikupe shida , akikucheki mpotezee ila mkikutana akikuchangamkia mjibu kistaarabu alafu uwe serious sana ila uwe mstaarabu na hayo ndiyo maisha na maana ya busara na hekima.

Ipo siku atakuja kukuheshimu sana pia hakikisha usije ukamvua chupi mkuu ili hali unajua wazi ni mke wa mtu.

KUMBUKA .Sisi vijana tunavuaga chupi wale wake za watu ambao hatujui kama ni mke wa mtu tukizania ni single mama tuu. Ila tukijua ukweli ni mke wa mwanaume mwezangu tunajutiaga sana nainaumaga sana na kuomba toba. Japo hatuwekagi wazi kama tunajutia.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima kupendwa na kila unayempenda,ukielewa hilo utakua umekua na utajua kideal na rejections kama hizo.
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye??Maana hapa kama nipo njia panda hivi

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
HUPENDWI hilo tu
 
Nimekuelewa..

Ila mkuu mke wa mtu ni mtamu lakini siku ukikamatwa na mumewe anakua mchungu sana .

Achana nae haraka sana. mbona mabinti wabichi na ambao hawana watoto wapo ndugu, tafuta binti mmoja mbichi ambae injini haijashushwa wekeza huko akili zako na sio hisia. Akili zikikuambia weka ndani fanya chapu ndoa ni BARAKA,

Ila hakikisha akili ndiyo inayo kuambia weka ndani na siyo hisia.


Huyo mke wa mtu kuhusu kutofuta namba zako isikupe shida , akikucheki mpotezee ila mkikutana akikuchangamkia mjibu kistaarabu alafu uwe serious sana ila uwe mstaarabu na hayo ndiyo maisha na maana ya busara na hekima.

Ipo siku atakuja kukuheshimu sana pia hakikisha usije ukamvua chupi mkuu ili hali unajua wazi ni mke wa mtu.

KUMBUKA .Sisi vijana tunavuaga chupi wale wake za watu ambao hatujui kama ni mke wa mtu tukizania ni single mama tuu. Ila tukijua ukweli ni mke wa mwanaume mwezangu tunajutiaga sana nainaumaga sana na kuomba toba. Japo hatuwekagi wazi kama tunajutia.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nami pia nimekuelewa

Mkuu mimi nilijaribu kumchunguza ili kujiridhisha kama ni mke wa mtu kweli lakini sio labda atakuwa na mwanaume mwenye malengo nae ya kuwa mumewe

Na kuhusu kumvua chupi mwanamke, mimi sina mambo hayo wala sikuwahi kushiriki kwenye mambo ya ngono na wala sikumtamanj kimwili na muheshimu sana ndio maana nilipoanza kumtongoza nilimwambia direct kuwa lengo langu ni kumuoa na wala si kumchezea

Lakini suala lake la kutokupokea simu zangu linaniuma sana isitoshe simu kupigia ni kwa lengo la kumjulia hali lakini yeye anakukalia kimya ukimuuliza lengo la kutokupokea simu zangu ni nini? Hajibu?? Why? Anakaa kimya kama hataki mawasiliano na mimi kwa nini asifute namba zangu na kwani anabaki nazo??
 
Back
Top Bottom