Hivi hapa kuna mapenzi kweli ama?

Hivi hapa kuna mapenzi kweli ama?

Ndio umng'ang'anie, kwahiyo kichwani mwako unaona hicho kitendo unachokifanya kinakujengea heshima au kinakudharaulisha. Ukishampata ila katanguliza dharau mbele unauhakika utadumu kwenye hayo mahusiano. Yaani uone chumba hiki kinawaka moto ukidharau kwasababu chumba kingine kina matunda na nyama. Mwisho wake siuleule kuwa nyumba nzima itaungua tu. Hebu fikirisha akili achana na mahisia.
Najua ni dharau!!! But kumhukumu mtu bila kujua sababu za kukudharau ni zipi??? Naweza kumhoji wapi nina mapungufu au wapi nilimkwaza labda naweza kujirekebisha lakini sio kukukalia kimya that's why naumia.

Pesa na vitu vidogovidogo namhonga na kila nikikutana naye huwa ananionyeshea ushirikiano wa kuwa na mimi shida ni mawasiliano
 
Sio kila jambo ni dharau mkuu huwezi jua labda ana sababu zake za kutokupokea simu zangu maybe ngoja nitamuuliza nilimkosea nini?? Au anachuki na mimi na kwanini hasemi aniweke wazi???
Au kama hanitaki kwanini asiniambie direct kuwa sikutaki kuliko kunionyeshea tabasamu la kinafki
 
Najua ni dharau!!! But kumhukumu mtu bila kujua sababu za kukudharau ni zipi??? Naweza kumhoji wapi nina mapungufu au wapi nilimkwaza labda naweza kujirekebisha lakini sio kukukalia kimya that's why naumia.

Pesa na vitu vidogovidogo namhonga na kila nikikutana naye huwa ananionyeshea ushirikiano wa kuwa na mimi shida ni mawasiliano
Kwakufikiri tu, hivi ninani angetakiwa kumake effort kama mawasiliano kwake ndio yanamletea changamoto, wewe au yeye. Amekaa kimya, hataki kuongea shida yake, wewe ninani uje umlazimishe au umekosa malengo maishani. Let's be realistic and value ourselves, your not her father or relative, aliishi na uliishi 20+ yrs bila kujuana mbona hukufa na yeye hakufa. Yaani hilo somo wanawake kule wamelielewa kweli na wanawachakaza wanaume sasa wasiojua kuelewa. Ukitaka kujua unachofanya sahihi hebu mwambie hiki kisa mama yako uone atakavyokubamiza bao, na kwababa ndio atakudharau kabisa.
 
Kwakufikiri tu, hivi ninani angetakiwa kumake effort kama mawasiliano kwake ndio yanamletea changamoto, wewe au yeye. Amekaa kimya, hataki kuongea shida yake, wewe ninani uje umlazimishe au umekosa malengo maishani. Let's be realistic and value ourselves, your not her father or relative, aliishi na uliishi 20+ yrs bila kujuana mbona hukufa na yeye hakufa. Yaani hilo somo wanawake kule wamelielewa kweli na wanawachakaza wanaume sasa wasiojua kuelewa. Ukitaka kujua unachofanya sahihi hebu mwambie hiki kisa mama yako uone atakavyokubamiza bao, na kwababa ndio atakudharau kabisa.
Okay ngoja niachane nae tu maisha yaendelee na wala sitamlazimisha tena mawasiliano nae
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye?? Maana hapa kama nipo njia panda hivi.

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi, nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu

Mapenzi yatoke wapi na huyo c mpenzi wako.mbona wataka matatizo ya moyo kijana
 
Mkuu huyo hata kama sio mke wa mtu kihalali ila atakuwa na mpenzi wake wana malengo na hapo kuna mambo mawili nayaona.
1. Mpenzi wake kadukua akikuzoezasimu yake na yeye anajua.
2. Anaogopa akikuzoesha kumpigia simu n kumtext atashindwa kukuzuia usimpigie akiwa na mpenzi wake.
 
Mkuu huyo hata kama sio mke wa mtu kihalali ila atakuwa na mpenzi wake wana malengo na hapo kuna mambo mawili nayaona.
1. Mpenzi wake kadukua akikuzoezasimu yake na yeye anajua.
2. Anaogopa akikuzoesha kumpigia simu n kumtext atashindwa kukuzuia usimpigie akiwa na mpenzi wake.
Kama ni hivo ngoja mimi nijiweke pembeni na haya mahusiano, nikae mbali nae nisije kuleta matatizo zaidi
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye?? Maana hapa kama nipo njia panda hivi.

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi, nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
Soma kwanza Ndoa zipo tu..
Kama niwako utampata ila Kama si wako wapo wengi tu Tena ni wazuri na wanasifa za kuolewa

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye?? Maana hapa kama nipo njia panda hivi.

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi, nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
Mbona inaonekani wazi hakutaki
 
Kukwambia ni mke wa mtu haimanishi ameolewa,anaweza akawa na mpenzi wake wanapanga kuoana ndo maana akasema mke wa mtu.
Unaulizia kama kuna mapenzi mi sijaona sehemu yoyote mmeingia makubaliano na huyo mke wa mtu
Kijana unachanganywa na vitu vidogo sana

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Kukwambia ni mke wa mtu haimanishi ameolewa,anaweza akawa na mpenzi wake wanapanga kuoana ndo maana akasema mke wa mtu.
Unaulizia kama kuna mapenzi mi sijaona sehemu yoyote mmeingia makubaliano na huyo mke wa mtu
Kijana unachanganywa na vitu vidogo sana

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sawa mimi namtakia kila la heri na maisha mazuri na huyo mumewe mtarajiwa wake
 
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye?? Maana hapa kama nipo njia panda hivi.

Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno mengi, nikamwambia mimi nataka nikuoe akasema yeye ni mke wa mtu. Sikutaka kuamini kama ni kweli nikaanza kumchunguza nikaona alikuwa ananitania sikuwa na panic maana kama ni mke wa mtu mbona yupo chuoni na isitoshe umri wake mbona hauruhusu kuwa na mume maana hata dada yake namfahamu ametoka kuolewa juzijuzi tu hapa sasa iweje aolewe kabla ya dada yake.

Sasa nikawa najaribu kuweka ukaribu nae kupitia mawasiliano ya simu ila naona siku hizi hapokei simu zangu wala kujibu sms kila nikimpigia unakuta simu inaita wala hapokei sametimes anakata kabisa.

Kwakuwa tupo chuoni tena college moja kukutana nae physically ilikuwa ni jambo la kawaida kila nikikutana naye huwa ananichangamkia sana ila nikimuuliza mbona hupokea simu zangu ananijibu kukutana na mimi tu inatosha sio lazima iwe simu.

Nikamuuliza kama ni hivo basi namba zangu futa ila hataki kufuta namba zangu kila nikiingia watasapp nakutana na status zake naona bado kasave namba zangu.

Sasa huwa najiuliza hivi apa kuna mapenzi kweli wakuu au nipige chini niendelee na hamsini zangu
#Natanguliza shukurani wakuu
Futa namba.
Mnyime attention.
Ukikutana naye akakuuliza kwanini, mjibu siwezi kuwa na namba ambayo haina faida kwangu, then pita hivi.
 
Hataki kufuta namba yako?? Wewe mbona hujafuta yako


Chukua simu yake uifute hiyo namba yako

Wewe jamaa ni kiazi

Mtu kakwambia kaolewa unalazimisha et hajaolewa au unataka mpk picha za harusi ndio uaminii hujui kama siku hizi watu wanaishi tu bila harusi

Ana bwana ake huyo anampenda na wewe tafuta manzi inginee acha kuwa king’ang’anizi[emoji2][emoji2]
 
Hataki kufuta namba yako?? Wewe mbona hujafuta yako


Chukua simu yake uifute hiyo namba yako

Wewe jamaa ni kiazi

Mtu kakwambia kaolewa unalazimisha et hajaolewa au unataka mpk picha za harusi ndio uaminii hujui kama siku hizi watu wanaishi tu bila harusi

Ana bwana ake huyo anampenda na wewe tafuta manzi inginee acha kuwa king’ang’anizi[emoji2][emoji2]
Kuhusu kufuta namba mimi sina tatizo nae na nilikuwa nahitaji mawasiliano nae lakini kama hataki mawasiliano na mimi anakaa na namba yangu ya kazi gani?? Si afute kama uhitaji mawasiliano na mtu namba yake unakaa nayo ya kazi gani eti??

Halafu kingine mimi siwezi kuwa kin'gan'ganizi kwa mambo madogo madogo kama haya mimi niliamua kumchunguza kama ni kweli ni mke wa mtu na unajua kabisa maana ya mke wa mtu ni lazima awe amefungashiwa ndoa bila hivo labda atakuwa ana bwana wake lakini sio mume wake that's why niliona hapa kuna nafasi ya mimi kuwahi kufunga ndoa nae ili niwe mume wake halali.
 
Siku hiz wanawake wanashindana view za status, mwenye view nying anajion star,.. sasa wewe futa namba hupendwi
 
Back
Top Bottom