Uliyosema inawezekana ni kweli kabisa. Wakurya wanapenda sana kuwadhalilisha wake zao. Miaka mingi kidogo niliishi Temeke Mtaa wa Uzuri kwenye nyumba ya vyumba sita na mimi nikiwa na chumba kimojawapo kati ya hivyo. Kijana moja wa Kikurya alikuwa anampiga sana mke wake halafu anamvua nguo zote kabisa na kumtupa nje ya chumba chake na kufunga mlango kwa ndani. Nilikuwa sijawahi kuona ukatili wa ain hiyo maishani mwangu.
We naye sasa huyu mkurya mmoja ndiyo imeshakuwa wakurya??!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:shock::shock::shock::shock: