Hivi hadi siku hizi kuna watu wanapiga wake zao?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
kuna jamaa leo walikuwa wanapiga stori ..mmoja akawa anamwambie mwenzake like kama anakuzingua anakununia nunia piga ..dawa yao ni kipigo hadi anyooke.. i was like wtf?.kumbe hadi karne hii na wakati wetu kama huu watu wananyosha mikono yao na kupiga wake zao bila uoga/woga. kama ni kweli wadau tunatakiwa tubadilike na kumaliza tofauti zenu kwa kukaa chini na kuongea.
 
Wapo wanaopiga tena sana tu.

Juzi mwanaume mmoja jirani yetu kampiga mkewe vichwa, mateke na ngumi huku mkewe akiwa amebeba mtoto mdogo mgongoni, kisa mkewe hajapika chakula, wakati huyo mumewe alipoondoka asubuhi hakumwachia hata mia. Eti anamwambia kwa nini usichume hata matembele ukapika, ninahangaika kupanda matembele na bado kupika huwezi. Huyo mwanamke akahoji hayo matembele angeyapikaje wakati ndani hakuna mafuta ya kula, mchele, unga, , na viungio vya mboga, hilo ndio lilikua kosa. Mwanamke hafanyi kazi ni mama wa nyumbani, na huyo mumewe anambana sana mkewe hataki atoke kwenda kujishughulisha. Amekua akimpiga mara kwa mara na kumtukana matusi makubwa mbele ya watoto.

Mwanaume akikuchoka jamani, atakutafutia sababu mia kidogo. Badilikeni!!! Hata kama mtu ukipata nyumba ndogo wajali hata watoto wako, isiwe sababu ya kuleta vurugu nyumbani na kufukuza familia yako, maana laana ya mke na watoto wako itakutafuna popote utakapoenda.
 
Kwa nini mwanamke asipigwe? au unadhani wanawake wote wako sawa na wanaringana? mbona wanaume wanapigwa na wake zao?

Mimi si miongoni mwa wapigaji ila ukinichanganya siku ni lazima ule kisago cha uhakika ili uelewe kabisa kwamba to be a Gentleman siyo ujinga.
 
Sasa wewe unashangaa nini?? Kwani aliyekwambia kumpiga mwanamke ni ishu sana ni nani??!!! Kwa taarifa yako kuna wanawake wengine usipowagusa gusa kdogo once in a while wanakuona juha, tena hasa kina dada wa kibongo.
 
Kumpiga mke! mimi hapana, kama tumefikishana mahali nimeshindwa kumvumilia kutokanan na vitendo vyake, ni biora hata kuachana....
Kama mwanaume anafikia mahali pa kumpiga mkewe, nadhani huyo atakuwa na walakini katika ubongo wake....
 
Kumpiga mke! mimi hapana, kama tumefikishana mahali nimeshindwa kumvumilia kutokanan na vitendo vyake, ni biora hata kuachana....
Kama mwanaume anafikia mahali pa kumpiga mkewe, nadhani huyo atakuwa na walakini katika ubongo wake....
Wewe ndio ubongo wako una walakini, usidhani kila mwanamke amezaliwa kwao anaangalia Isidingo.
 
Wapo wanaopiga tena sana tu.

Juzi mwanaume mmoja jirani yetu kampiga mkewe vichwa, mateke na ngumi huku mkewe akiwa amebeba mtoto mdogo mgongoni, kisa mkewe hajapika chakula, wakati huyo mumewe alipoondoka asubuhi hakumwachia hata mia. Eti anamwambia kwa nini usichume hata matembele ukapika, ninahangaika kupanda matembele na bado kupika huwezi. Huyo mwanamke akahoji hayo matembele angeyapikaje wakati ndani hakuna mafuta ya kula, mchele, unga, , na viungio vya mboga, hilo ndio lilikua kosa. Mwanamke hafanyi kazi ni mama wa nyumbani, na huyo mumewe anambana sana mkewe hataki atoke kwenda kujishughulisha. Amekua akimpiga mara kwa mara na kumtukana matusi makubwa mbele ya watoto.

Mwanaume akikuchoka jamani, atakutafutia sababu mia kidogo. Badilikeni!!! Hata kama mtu ukipata nyumba ndogo wajali hata watoto wako, isiwe sababu ya kuleta vurugu nyumbani na kufukuza familia yako, maana laana ya mke na watoto wako itakutafuna popote utakapoenda.

huyo mwanaume ni mfujaji wa kisaikolojia ( Mtambuzi anahusika hapa), too bad mwanamke amekubali kunyanyasika
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe unashangaa nini?? Kwani aliyekwambia kumpiga mwanamke ni ishu sana ni nani??!!! Kwa taarifa yako kuna wanawake wengine usipowagusa gusa kdogo once in a while wanakuona juha, tena hasa kina dada wa kibongo.


Sasa ukimpiga huo upendo ndani ya nyumba unaendelea kuwepo au unaishia hapo. Maana sidhani kama ukishampiga ataweza kuendelea kukupenda kama alivokua anakupenda mwanzo labda awe ana pretend tu.
 
Wewe ndio ubongo wako una walakini, usidhani kila mwanamke amezaliwa kwao anaangalia Isidingo.

Bila shaka wewe utakuwa ni MKURYA wewe.....
Nina wasiwasi sana na uwezo wako wa kupambanua mambo kwa kutumia fikra pevu na upembuzi yakinifu, kama wewe huwezi kumvulilia binadamu mwenzako hususan mwanamke basi wewe utakuwa una udhaifu mkubwa katika ubongo wako...
 
Bila shaka wewe utakuwa ni MKURYA wewe.....
Nina wasiwasi sana na uwezo wako wa kupambanua mambo kwa kutumia fikra pevu na upembuzi yakinifu, kama wewe huwezi kumvulilia binadamu mwenzako hususan mwanamke basi wewe utakuwa una udhaifu mkubwa katika ubongo wako...
Wewe ndio dhaifu na inaonekana wewe ni Msambaa, usigeneralize wanawake ukadhani wote wanaangalia Isingo au La Revenge, sawa na wanaume pia wako tofauti.

As for me kama mwanamke ataniudhi to the maximum napiga ngumi nataka ngwala na vichwa juu, wewe endelea na uzezeta wako, kama umeowa mwanamke aliyevunja agano la kuwa Sista mtawa usidhani wanawake wote wanapswa kuwa treated kama unavyotaka wewe kuaminisha watu.

Makamu wa Rais wa Uganda wa Museven nimemsahau jina lakini sasa hivi hayuko madarakani alikuwa analamba vibao kutoka kwa mume wake kama kawa na akaambiwa umakamu wake wa Rais unaishia mlangoni anapoingia ndani ya nyumba.
 
jana nilikua na washkaji mahali nikasikia wakimtania mwenzao kua anapewaga kibano na mwanamke wake na huyo mwanamke yuko pale anasikia...mi kupiga mwanamke siwezi ila mwanamke asiniguse maana siku akinigusa ndio atajua mizimu yangu ya kiarusha inafananaje
 
Sasa ukimpiga huo upendo ndani ya nyumba unaendelea kuwepo au unaishia hapo. Maana sidhani kama ukishampiga ataweza kuendelea kukupenda kama alivokua anakupenda mwanzo labda awe ana pretend tu.

Aliyekwambia upendo huwa unaisha kwa kupigwa tu nani?!!! FYI mke anaweza akapigwa na upendo ndo kwanza ukaongezeka na anaweza akaachwa tu halafu akakuona kama mjinga fulani hivi. Unajua nyie mnaosema kuwa kupiga mke si sawa na vitu kama hivyo mnafikiri wanawake wanafanana. Ni kwamba hawa kinadada wanatofautiana sana (msome Matola hapo juu utaelewa naongea kitu gani). Ukweli ni kuwa kuna wanawake usipowagusa (i.e kutoa kichapo) mambo hayaendi kabisa. Ila sasa hapa nazungumzia kichapo cha wastani tu sio zile ishu za kuvunjana miguu na mikono hadi kupelekea kulazwa.
 
kuna jamaa leo walikuwa wanapiga stori ..mmoja akawa anamwambie mwenzake like kama anakuzingua anakununia nunia piga ..dawa yao ni kipigo hadi anyooke.. i was like wtf?.kumbe hadi karne hii na wakati wetu kama huu watu wananyosha mikono yao na kupiga wake zao bila uoga/woga. kama ni kweli wadau tunatakiwa tubadilike na kumaliza tofauti zenu kwa kukaa chini na kuongea.
Wewe mleta mada mwenyewe umeowa au una Girlfriend tu,na kama umeoa ndoa yako ina muda gani,swala la kupiga mkeo ni deciosion ambayo itakutoka kama vile decision utakayofanya utakapofumania mkeo anatoa uroda live,utaamua kupigana au kuondoka taratibu kimyakimya,there is psychological thing behind that si swala la kusema hatakiwi au anatakiwa kupigwa.
 
Wewe ndio dhaifu na inaonekana wewe ni Msambaa, usigeneralize wanawake ukadhani wote wanaangalia Isingo au La Revenge, sawa na wanaume pia wako tofauti.

As for me kama mwanamke ataniudhi to the maximum napiga ngumi nataka ngwala na vichwa juu, wewe endelea na uzezeta wako, kama umeowa mwanamke aliyevunja agano la kuwa Sista mtawa usidhani wanawake wote wanapswa kuwa treated kama unavyotaka wewe kuaminisha watu.

Makamu wa Rais wa Uganda wa Museven nimemsahau jina lakini sasa hivi hayuko madarakani alikuwa analamba vibao kutoka kwa mume wake kama kawa na akaambiwa umakamu wake wa Rais unaishia mlangoni anapoingia ndani ya nyumba.

Baambie baba baelezee, bape ukweli.......................Watu uzungu umewaingia na hizi elimu zao za mkoloni basi wanadhani kila mtu anafikiri kama wao. Hawa wanaotetea hizi ishu, hawawajui vizuri hawa wanawake wetu wa kitaa.
 
Duh. Nafikiria kuhamia kwa kina mange kimambi. Kumbe mnaonekana wanaume humu na huko home hamna kitu? Unataka mkeo akuheshimu na kukupenda ama unataka akuogope. Msinijibu manake sirudi, msije mkaniharibia siku.
 
Wewe ndio dhaifu na inaonekana wewe ni Msambaa, usigeneralize wanawake ukadhani wote wanaangalia Isingo au La Revenge, sawa na wanaume pia wako tofauti.

As for me kama mwanamke ataniudhi to the maximum napiga ngumi nataka ngwala na vichwa juu, wewe endelea na uzezeta wako, kama umeowa mwanamke aliyevunja agano la kuwa Sista mtawa usidhani wanawake wote wanapswa kuwa treated kama unavyotaka wewe kuaminisha watu.

Makamu wa Rais wa Uganda wa Museven nimemsahau jina lakini sasa hivi hayuko madarakani alikuwa analamba vibao kutoka kwa mume wake kama kawa na akaambiwa umakamu wake wa Rais unaishia mlangoni anapoingia ndani ya nyumba.

Si nimesema una walakini kwenye ubongo wako, unakosa hata kumbukumbu ya vitu vidogo kama hivi.. ngoja nikusaidie anaitwa Specioza Kazibwe... Aliikluwa ni mwanamke jasiri aliyeamua kuimuacha mume mnyanyasaji kutokana na kuwa na kitu kinachoitwa Infiriority Complex... na kutojiamini

Bado nasisitiza kama umeshindwa kumvumilia mwanamke ni bora muachane kuliko kutiana ngeu, mtu hujui amezaliwa akiwa na tatizo gani, sasa ukimpiga halafu akakufia utakuwa umefaidika na nini? utafia jela...!
 
kwa hiyo kama kwao alikuwa anabeba kuni ndo unampiga?
I am so ashamed of u aisee. Mwanaume kupiga mkeo sio tu ni tatizo la ubongo lakini ni ishara ya kuwa weak. I mean coward. A real man faces his issues banaa.

Sasa King kwani wewe ndio wanawake wote???!!!!!!!!!!!!!!! Kwa nini nyinyi wanawake mlio na elimu ya mkoloni mnapenda kudhani kuwa mnachotaka na kufikiri nyinyi ndicho anachopenda kila mwanamke.................Msipende kuhukumu watu, mimi nakwambia nina uzoefu wa kutosha tu wa wanawake wanaofurahia kipigo na wala sio wakurya wala nini, maana hapa utasikia aah huyo atakuwa mkurya.

Muhimu ni kuwa si kila mwanamke ni King, na pia si kila anayepiga hajiamini.
 
Duh. Nafikiria kuhamia kwa kina mange kimambi. Kumbe mnaonekana wanaume humu na huko home hamna kitu? Unataka mkeo akuheshimu na kukupenda ama unataka akuogope. Msinijibu manake sirudi, msije mkaniharibia siku.

Kama unataka kuhama we hama tu. Yaani hutaki watu waseme yale wanayoona ni sahihi au yanatendeka kwa kuwa King atahama. Btw King ukikimbia hapa utajipunguzia maksi nyingi sana....C'mon lete hoja sio kukimbia. Pia kumbuka hatufanani.
 
Back
Top Bottom