Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kuna jamaa leo walikuwa wanapiga stori ..mmoja akawa anamwambie mwenzake like kama anakuzingua anakununia nunia piga ..dawa yao ni kipigo hadi anyooke.. i was like wtf?.kumbe hadi karne hii na wakati wetu kama huu watu wananyosha mikono yao na kupiga wake zao bila uoga/woga. kama ni kweli wadau tunatakiwa tubadilike na kumaliza tofauti zenu kwa kukaa chini na kuongea.