Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hiyo chini ina ukweli nusu nusu kwani si wote HAWAPENDI MAUMIVU. Kuna wengine wanapenda sana tu.
Kwa mfano Vibinti vya Kirusi (Saint Ivuga shahidi) akishafikisha ule umri, basi anajitahidi kila Jumapili asubuhi, kule chini kuna uma si kawaida kwa kipigo alichokipata jumamosi usiku. Na kuna wengine hata aliyemshushia kibondo hamfahamu kama siyo HAWAFAHAMU.
Utashangaa ikifika Jumamosi nyingine, Mdondo unajipeleka.
Kwa mfano Vibinti vya Kirusi (Saint Ivuga shahidi) akishafikisha ule umri, basi anajitahidi kila Jumapili asubuhi, kule chini kuna uma si kawaida kwa kipigo alichokipata jumamosi usiku. Na kuna wengine hata aliyemshushia kibondo hamfahamu kama siyo HAWAFAHAMU.
Utashangaa ikifika Jumamosi nyingine, Mdondo unajipeleka.
Binaadamu mwili wake haupendelei maumivu. Kwa hiyo unapokwenda kinyume na hapo ni katika kuvunja misingi ya kanuni za msingi za ubinaadamu wake.