Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 173
Habari za jumapili wakuu, napenda kuchukua nafasi hii kutaka kujuzwa hasa na wakazi wa mkoa mpya wa geita ambao bado miundo mbinu yake ni mibovu....! Nauliza hivi huyu mbunge wa jimbo la geita yupo wapi? Mbona haeleweki hata kiduchu? Yani toka amechaguliwa mwaka 2010 hata kugeuka kusema asante wa wapiga kura wake hawezi au ndo dharau kwa vile alishapata??? Popote alipo mfikishieni salamu za wakazi wa geita, najua atajichanganya 2015 agombee tena ndipo atajua tumeshachoka au la