Hivi Geita kuna mbunge?

Hivi Geita kuna mbunge?

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Habari za jumapili wakuu, napenda kuchukua nafasi hii kutaka kujuzwa hasa na wakazi wa mkoa mpya wa geita ambao bado miundo mbinu yake ni mibovu....! Nauliza hivi huyu mbunge wa jimbo la geita yupo wapi? Mbona haeleweki hata kiduchu? Yani toka amechaguliwa mwaka 2010 hata kugeuka kusema asante wa wapiga kura wake hawezi au ndo dharau kwa vile alishapata??? Popote alipo mfikishieni salamu za wakazi wa geita, najua atajichanganya 2015 agombee tena ndipo atajua tumeshachoka au la
 
Habari za jumapili wakuu, napenda kuchukua nafasi hii kutaka kujuzwa hasa na wakazi wa mkoa mpya wa geita ambao bado miundo mbinu yake ni mibovu....! Nauliza hivi huyu mbunge wa jimbo la geita yupo wapi? Mbona haeleweki hata kiduchu? Yani toka amechaguliwa mwaka 2010 hata kugeuka kusema asante wa wapiga kura wake hawezi au ndo dharau kwa vile alishapata??? Popote alipo mfikishieni salamu za wakazi wa geita, najua atajichanganya 2015 agombee tena ndipo atajua tumeshachoka au la

Unaongelea Geita kama Mkoa ama kama jimbo la uchaguzi?
 
Kwani kuna mbunge wa mkoa au jimbo? Mbona na wewe unakuwa kilaza?
 
Kwani kuna mbunge wa mkoa au jimbo? Mbona na wewe unakuwa kilaza?

Hivi waafrica lini tutaendelea kosa lake nini kwani huja muelewa yani awe kama anawaambia matahila afafanue mpaka habali ikose msisimko du kweli.
 
jamaa mshenzi kweli wakati wa uchaguzi alikuwa anajiita jembe, sikuhizi ukimuita jembe anajibu jembe mamayako
 
Mkuu huyu jamaa baada ya kufumaniwa dodoma akapigwa ban bungeni aliporudi geita akapondwa mawe tangu siku hiyo hajulikani alipo mpaka tumuone kwenye tv anauza sura
 
Enyi watu wa Geita, mnamtafuta Mbunge wa nini?
- Si mlimalizana naye wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu? Aliwapa hela, ubwabwa, chumvi, kapelo, kanga, t-sheti na vilemba; nanyi mkamchagua kwa kishindo baada ya kupokea vitu hivyo!
- Hamkujua kama ile ilikuwa biashara?
- Hamkujua kuwa ninyi wenyewe mliamua kuwa thamani ya kura zenu kwa miaka mitano ni chumvi pakti moja moja na ubwabwa wa shughuli?
Yuko bize bana, na tena msimsumbue, muacheni arudishe pesa zake alizotoa kukuhongeni.
Tulieni myameze maumivu taratiiiiiiibu bila kelele kama mlivyokubali kuhongwa kimya kimya. Mnae huyo, mpaka 2015 labda mtatia akili japo kidogo. NASEMA TOKENI HAPA!
 
Sasa kama walichagua liccm we unafikiri ni nini kitaendelea? Waache siku nyingine wajifunze.
 
Enyi watu wa Geita, mnamtafuta Mbunge wa nini?
- Si mlimalizana naye wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu? Aliwapa hela, ubwabwa, chumvi, kapelo, kanga, t-sheti na vilemba; nanyi mkamchagua kwa kishindo baada ya kupokea vitu hivyo!
- Hamkujua kama ile ilikuwa biashara?
- Hamkujua kuwa ninyi wenyewe mliamua kuwa thamani ya kura zenu kwa miaka mitano ni chumvi pakti moja moja na ubwabwa wa shughuli?
Yuko bize bana, na tena msimsumbue, muacheni arudishe pesa zake alizotoa kukuhongeni.
Tulieni myameze maumivu taratiiiiiiibu bila kelele kama mlivyokubali kuhongwa kimya kimya. Mnae huyo, mpaka 2015 labda mtatia akili japo kidogo. NASEMA TOKENI HAPA!

Sababu kubwa iliyompa ubunge ni kujenga choo cha umma na garden ya kupumzikia basi raia wakamwaminia ile mbaya!!
 
Sababu kubwa iliyompa ubunge ni kujenga choo cha umma na garden ya kupumzikia basi raia wakamwaminia ile mbaya!!

Then watulie kwakuwa walikurupuka. Next time wajifunze kuchunguza watu. By the way, hicho choo alikijenga kwa pesa yake ya mfukoni? Kama jibu ni Ndiyo, basi thamani ya kura za watu wa Geita kwa miaka mi5 waliamua wananchi wenyewe kuilinganisha na hicho choo. Wasitupigie kelele sisi.
 
Walimchagua Donald Max wakawa wanamwita jembe,sasa jembe limelima kwenye rami limeishiwa makali!
Kazi yake imebaki kunywa pombe na kutanua na walembo hili ni funzo kubwa kwa wanageita 2015 msifanye tena kosa hakuna jembe ndani ya ccm.
 
Walimchagua Donald Max wakawa wanamwita jembe,sasa jembe limelima kwenye rami limeishiwa makali!
Kazi yake imebaki kunywa pombe na kutanua na walembo hili ni funzo kubwa kwa wanageita 2015 msifanye tena kosa hakuna jembe ndani ya ccm.

Jamaa aligombea akashinda sasa hivi yupo busy anasheherekea ushindi ,msimsumbue !
 
Back
Top Bottom