Hivi Dr. Mpango amewahi kufanya biashara yoyote?

Hivi Dr. Mpango amewahi kufanya biashara yoyote?

Mkuuu, haya ndio madhara ya wahisani kupunguza misaada kwenye uchumi wetu. Watu walikuwa wanambeza JK kuwa kila siku yuko nje, but ukiwa na hali kama hii ambapo 90% ya wana Dar hawana ajira, unakaaje pale ikulu? By now JK angekuwa kwa Obama anapigia chapuo misaada kwa kuwa kiukweli nchi yetu ni maskini na hata pia nchi kama Israeli au Egypty ambazo ni 'tajiri' bado nazo zinapokea misaada kutoka America.
Wewe utakuwa huna akili kidogo, kwahiyo wasingepunguza misaada unataka kutuambia bajeti yetu leo ingekuwa inasomwa tri.31+ na kuendelea.........
 
wewe utakuwa huna akili kidogo,kwahiyo wasingepunguza misaada unataka kutuambia bajeti yetu leo ingekuwa inasomwa tri.31+ nakuendelea.........
Nimeona mahali kuwa Zitto kasema kuwa makusanyo ya hiyo bajeti hayatovuka 60%. So misaada ingeweza kukava gepu. Alafu jifunze kuchangia hoja na sio kutukana watu ukitaka kufika mbali kisiasa, kiuchumi na kijamii...
 
Naelewa unafanya kazi zaidi ya masaa 40 kwa wiki hivyo unalipa kodi mbili za dharura kwa kazi mbili na ile ya kwanza unalipa rate yenyewe.

Usisahau kula na kupumzika mkuu du!

Cha msingi ujenge ghorofa ya maana Tanzania ya kuja kupumzikia na kula bata ukifikisha miaka 60

Lol
Ghorofa ngumu mkuu nilijaribu mahesabu yake noma. Aliyejenga ghorofa iwe kihalali au wizi namuheshimu sana. Ila naham sana ya kujenga ghorofa. Pia kumilik v8 renji ama hummer aisee si mchezo nilishapiga mahesab nikapotezea tu nawaheshim sana wanaomilik hayo magar iwe kihalal ama wiz. Hayo magar ni 250 to 250K dollars siyo mchezo. Licha ya kujituma sana kufanya kazi nina njia zingine mbadala za kupata hela nyingi tena kihalal moja wapo lottery bahati nasib kila wiki nanunua ticket za kutosha na za kuscratch sijali hasara nacheza kama hobby tu unaweza ukajikuta milionea nimeshashuhudia room mate wangu kashinda kama million 30 za kibongo hiv hiv
 
heshima yako malala. Ila wafanyabiashara bongo kodi mnayotozwa bado ndogo sana. Hollande huko ufaransa matajir au wafanyabiashara wananyukwa 75% hadi wanatoroka nch. Nchi za skendinevia wananyukwa 64%+.

Ila kwa akina Hollande yeye kwenye kampen kabla awe rais iyo ya kodi aliahid na ilikuwa kwenye ilan ndio iliyompeleka ikul kwasabab working class wengi walimpigia. Ila hapa kwetu ni kukurupuka tu aikuwa hata kwenye ilan wanakaa na kupanga kivyao tu. Halaf cha kuhuzunisha utakuta kodi inakusanywa kubwa hamna kitu tunazid kurwmbeza bakuli kweli nyambaf zetu. Afadhal akina Hollande huko ufaransa unaona kodi kweli inafanya kaz.

Ila Malala usikate tamaa. Kumbuka watu 300 pamoja na familia zao wanakutegemea
 
ghorofa ngumu mkuu nilijarib mahesab yake noma. Aliyejenga ghorofa iwe kihalal au wizi namuheshim sana. Ila naham sana ya kujenga ghorofa. Pia kumilik v8 renji ama hummer aisee si mchezo nilishapiga mahesab nikapotezea tu nawaheshim sana wanaomilik hayo magar iwe kihalal ama wiz. Hayo magar ni 250 to 250K dollars siyo mchezo. Licha ya kujituma sana kufanya kazi nina njia zingine mbadala za kupata hela nyingi tena kihalal moja wapo lottery bahati nasib kila wiki nanunua ticket za kutosha na za kuscratch sijali hasara nacheza kama hobby tu unaweza ukajikuta milionea nimeshashuhudia room mate wangu kashinda kama million 30 za kibongo hiv hiv

Bila shaka, jitahidi uweke akiba benki na uanze kufikiria utafanya nini Tanzania miaka 5-10 ijayo.

Kumbuka, Tanzania ni nyumbani.

Maisha ni popote pale lakini kwa sisi Tanzania ni raha sana, ni fwedha yako tu mfukoni.

Kuna watanzania wenzetu fulanifulani wanakula bata sana aisee!

Lakini walichakarika sana walipokuwa wana nguvu.

Nasi tujitume, achana na watu wanaolialia.

Lol
 
Nchi nyingi Dunia wanafanya kila mbinu kupunguza wavutaji wa sigara.
Sigara ina cost government zaidi ya inavyotoa ajira. Ukiachilia cancer ambayo ni well known
Sigara inachangia pia kuna matatizo mengi ya kiafya yanachangiwa na uvutaji wa sigara.
 
heshima yako malala. Ila wafanyabiashara bongo kodi mnayotozwa bado ndogo sana. Hollande huko ufaransa matajir au wafanyabiashara wananyukwa 75% hadi wanatoroka nch. Nchi za skendinevia wananyukwa 64%+.

Ila kwa akina Hollande yeye kwenye kampen kabla awe rais iyo ya kodi aliahid na ilikuwa kwenye ilan ndio iliyompeleka ikul kwasabab working class wengi walimpigia. Ila hapa kwetu ni kukurupuka tu aikuwa hata kwenye ilan wanakaa na kupanga kivyao tu. Halaf cha kuhuzunisha utakuta kodi inakusanywa kubwa hamna kitu tunazid kurwmbeza bakuli kweli nyambaf zetu. Afadhal akina Hollande huko ufaransa unaona kodi kweli inafanya kaz.

Ila Malala usikate tamaa. Kumbuka watu 300 pamoja na familia zao wanakutegemea
Kwanza kabisa kibongo bongo biashara kubwa ni uchuuzi na biashara nyingi zinaanzishwa kama alternative ya maisha magumu..i.e mtu ameajiriwa sehemu mshahara hautoshi anadunduliza anaanzisha biashara hio ambayo kimsingi inaendeshwa kienyeji faida na hasara anaijua huyo alieianzisha au sana sana mtu akibadilika atamuweka mke wake au ndugu zake wasimamie..biashara za Tanzania hazina sustainability kama za huko ulaya ambazo wanaweza hata predict faida etc etc biashara ambazo ziko well researched yani watu wanaanzisha kitu ambacho wanauhakika kwamba kina kua kina manufaa fulani...ndo mana threads za nina shilingi kadhaa nifanye biashara gani hua haziishi huwezi compare kodi za huko ulaya na huku sababu biashara za huku zinaendeshwa kienyeji hata alieenda shule biashara anaiendesha kienyeji...
 
heshima yako malala. Ila wafanyabiashara bongo kodi mnayotozwa bado ndogo sana. Hollande huko ufaransa matajir au wafanyabiashara wananyukwa 75% hadi wanatoroka nch. Nchi za skendinevia wananyukwa 64%+.

Ila kwa akina Hollande yeye kwenye kampen kabla awe rais iyo ya kodi aliahid na ilikuwa kwenye ilan ndio iliyompeleka ikul kwasabab working class wengi walimpigia. Ila hapa kwetu ni kukurupuka tu aikuwa hata kwenye ilan wanakaa na kupanga kivyao tu. Halaf cha kuhuzunisha utakuta kodi inakusanywa kubwa hamna kitu tunazid kurwmbeza bakuli kweli nyambaf zetu. Afadhal akina Hollande huko ufaransa unaona kodi kweli inafanya kaz.

Ila Malala usikate tamaa. Kumbuka watu 300 pamoja na familia zao wanakutegemea
Kwanza kabisa kibongo bongo biashara kubwa ni uchuuzi na biashara nyingi zinaanzishwa kama alternative ya maisha magumu..i.e mtu ameajiriwa sehemu mshahara hautoshi anadunduliza anaanzisha biashara hio ambayo kimsingi inaendeshwa kienyeji faida na hasara anaijua huyo alieianzisha au sana sana mtu akibadilika atamuweka mke wake au ndugu zake wasimamie..biashara za Tanzania hazina sustainability kama za huko ulaya ambazo wanaweza hata predict faida etc etc biashara ambazo ziko well researched yani watu wanaanzisha kitu ambacho wanauhakika kwamba kina kua kina manufaa fulani...ndo mana threads za nina shilingi kadhaa nifanye biashara gani hua haziishi huwezi compare kodi za huko ulaya na huku sababu biashara za huku zinaendeshwa kienyeji hata alieenda shule biashara anaiendesha kienyeji...
 
Sasa ulitaka walengwe wakina nani? Unataka kufanya biashara halafu kodi hutaki kulipa? Kama hutaki kulipa kodi basi hama nchi!

Tax base nyembamba ndilo tatizo letu kubwa kwa miaka yote na walengwa wamekuwa ni wale wale - wafanyabiashara hususani wakubwa. Nadhani concern ya mleta maada imejikita hapo.

Hii ni mithili ya kuhifadhi mayai yako yote kwenye pakacha moja (halafu la makuti) na pakacha hilo unaliachia tu linyeshewe mvua kila siku.... iko siku litaja toboka na kudondosha mayai yoote!

Hapo ndipo penye shida.
 
Nnavyojua wabongo wanavyopenda ku maintain status hawawezi kuacha kuzitumia/kuzilipia hizo plate number ili wasijeonekana wamefulia.
 
kwanza kabisa kibongo bongo biashara kubwa ni uchuuzi na biashara nyingi zinaanzishwa kama alternative ya maisha magumu..i.e mtu ameajiriwa sehemu mshahara hautoshi anadunduliza anaanzisha biashara hio ambayo kimsingi inaendeshwa kienyeji faida na hasara anaijua huyo alieianzisha au sana sana mtu akibadilika atamuweka mke wake au ndugu zake wasimamie..biashara za Tanzania hazina sustainability kama za huko ulaya ambazo wanaweza hata predict faida etc etc biashara ambazo ziko well researched yani watu wanaanzisha kitu ambacho wanauhakika kwamba kina kua kina manufaa fulani...ndo mana threads za nina shilingi kadhaa nifanye biashara gani hua haziishi huwezi compare kodi za huko ulaya na huku sababu biashara za huku zinaendeshwa kienyeji hata alieenda shule biashara anaiendesha kienyeji...

Umeongea kitu cha maana sana.

Ulaya na Marekani wafanyabiashara wa kati na wae wadogo ndio wanaosaidia kwa kiasi kikubwa kuendesha uchumi.

Biashara zote za kati Tanzania na zile za chini kama mtu kuwa na genge la mbogamboga na zile za kilimo na bidhaa zinazotokana na kilimo, haziwezi kukua na kushamiri kwa sababu kunakosekana "business plan" na usimamizi.

Wanahitajika wasomi wa biashara kujiajiri na kuanza kutoa huduma ya utaalam wao kwa wajasirimali.
 
Nimeona mahali kuwa Zitto kasema kuwa makusanya ya hiyo bajeti hayatovuka 60%. So misaada ingeweza kukava gepu. Alafu jifunze kuchangia hoja na sio kutukana watu ukitaka kufika mbali kisiasa, kiuchumi na kijamii...
Bajeti ya mwaka juzi, achilia mbali ya mwaka jana mpaka leo haijakamilika hata hii haitakamilika wala hii 60% hawatoipata.
 
Hapana MKuu usijali, lugha unatumia pale inapobidi na ndio maana wenzetu wanathamini sana lugha zao.

Mimi ni nimepitapita tu katika hizo nchi katika harakati zangu, lakini nilikuwa nataka kusema kwamba kuna watu wanajali zaidi faida kuliko kulipa kodi inavyostahiki.

Hivyo mashine zinazotoa stakabadhi ya malipo ni moja ya viashiria vitakavyotoa ishara kwamba nchi inapata kodi inavyotakiwa.

Hii mifumo ya kodi ikiwekwa sambamba na mifumo ya hawa wahisani (nchi za Ulaya) watu wengine si hawatafanya biashara kabisa?
Masikini yeyote akitoa 1000 kwenye ATM au kwenye muamala wa simu analimwa 280/-
 
Back
Top Bottom