Hivi Dr. Mpango amewahi kufanya biashara yoyote?

Hivi Dr. Mpango amewahi kufanya biashara yoyote?

Hiyo ya magari imepanda kwa asilimia 500. Ile 5m ilikuwa kwa miaka mitatu na hii 10m ni mwaka mmoja. Mimi navyojua ile revenue stream itashuka maana wengi wataexit na hiyo mi naona ndio problem lakini kuipandisha haina athari ya moja kwa moja kwnye biashara kwani ni luxury.
Mkuu huyu jamaa kachanganya mambo anajifanya anajua kutetea mfanyabiashara kwa hoja zisizo za msingi wala hazina mashiko kabisa
 
Kuendesha kiwanda nchi zingine kuna ahueni maana hata mazingira yanakuruhusu kufanya kazi , sasa huku kwetu mjomba wadau hatushirikishwi kabisa .
Hapo ndio tatizo. Wangeweka mazingira bora na mazuri kwa wananch hili hata kufanya biashara iwe na manufaa kwa serikali na wafanyabiashara hata wakiongeza mikodi yao kuna tija. Yani CCM wanakusanya kodi unadhan ni kama mchezo flan hiv wanacheza sijui kombolela ama kidalipoo. Mimi nauliza hiz kodi zinaendaga wapi? Kila uuchwao ni kutembeza bakuli. WAkat wa jk alikuwa anakopa had kwa wafanyabiashara wa ndan na mabenk so sad. Really let us pray for trump to be president so that he can nuke us.
 
Nchi inatakiwa ijiongeze , kutegemea wafanyabiashara tu ili kuendesha nchi iko siku tutakwama .
Nitajie nchi ambayo 100% haitegemei wafanyabiashara na mimi nikaishi...au wewe definition yako ya wafanya biashara ni ipi,maana hata hivyo viwanda vinatengeneza bidhaa ili viuze nayo ni biashara sasa niambie nchi gani haitegemei wafanya biashara
 
hapo ndio tatizo. Wangeweka mazingira bora na mazuri kwa wananch hili hata kufanya biashara iwe na manufaa kwa serikali na wafanyabiashara hata wakiongeza mikodi yao kuna tija. Yani CCM wanakusanya kodi unadhan ni kama mchezo flan hiv wanacheza sijui kombolela ama kidalipoo. Mimi nauliza hiz kodi zinaendaga wapi? Kila uchwao ni kutembeza bakuli. Really let us pray for trump to be president so that he can nuke us.

Hivi na wewe Copenhagen, umeisoma hotuba ya bajeti yote na ukaimaliza?

Mbona unaanza kunitia wasiwasi kwamba unaishi katika nchi ambazo suala la kodi hawaliletei mzaha, yaani namaanisha uwezo wako wa kuchambua mambo kama haya ya kodi bila kuweka siasa unatakiwa uwe kwenye level ingine kabisa.

Au upo Makambako mkuu

lol.
 
Hiyo ni bajeti ya serikali. Dr. Mpango amesoma hiyo bajeti kwa niaba ya serikali. Sasa unapomlaumu Dr. Mpango tunashindwa kukuelewa.
 
Ndio wachumi wetu wa kwenye vitabu hawa usishangae watakaokuja kukupinga hapa mana ni misukule iliokunywa uji wa ndele
 
Nimeiangalia bajeti yake kwa umakini na inaonyesha kama imewalenga hasa wafanyabiashara, sijui lengo lake nini, kuwakomoa? Hivi kuna nchi inaweza kusonga bila wafanyabiashara?

Kwa mfano kutoza VAT kwenye miamala ya simu pamoja na kumgusa kila mtu lakini wafanyabiashara ndio watakaoathirika zaidi, maana badala ya mtu kutuma hela mbagala kwa simu sasa atapanda daladala na kupeleka kwa mkono.Hili la kuendelea kutegemea bia na sigara kwenye kodi litaua viwanda ambavyo ni tegemeo kubwa la ajira.

Ifahamike kwamba hakuna mfanyakazi wa serikali ya Tanzania aliyewahi kusajili namba binafsi kwenye gari lake, sasa kupandisha ada hii kwa 100% yaani kutoka mil 5 hadi mil10 ni kuwakomoa wafanyabiashara bila sababu yoyote.

Mtu yeyote aliyewahi kupata uzoefu kwenye biashara ambaye anazijua changamoto zake hawezi kuleta bajeti inayokandamiza sekta hii kwa kiwango ambacho ni hakika kuna viwanda na biashara kadhaa hazitaweza kumudu.

Uwezo wao ndo ulipoishia. Usijitarajie muujiza chini ya CCM
 
Huna lolote ! Unajua kwanini baada ya bajeti kusomwa nchi imenuna ? Yaani wewe tu ndio uwe na uwezo wa kuona kuliko wengine ?
Kwani wafanyakazi wa serikalini wamezuiwa kuweka registration # zenye majina yao? Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wafanyabiashara sugu wa kukwepa kodi pale Kariakoo
 
Ndo wachumi wetu wa kwenye vitabu hawa usishangae watakaokuja kukupinga hapa mana ni misukule iliokunywa uji wa ndele

Misukule ni nyinyi mnaotumiwa kutaka kuivuruga serikali hii ambayo hamkuitegemea.

Ndio maana nimemuuliza ndugu yangu Copenhagen kama mbona analeta mzaha kwenye suala la kodi.

Kwa sisi tulioishi au tunaoishi kwenye nchi zilizoendelea na zinazoendelea tunafahamu umuhimu wa kulipa kodi.

Tena katika nchi kama Sweden au baadhi ya hizo katika Scandinavia unafahamu kila nyumba kwa nje kunakuwa na jina na wanaoishi katika hiyo nyumba na kwamba ni sheria kuweka majina hayo?

Sasa unafahamu maana ya kufanya hivi?
 
Umeelewa lakini ?
Unatoka nyumbani kwako unapanda gari unapita barabara ya lami, huko njiani kuna traffic au mataa yanakuongoza, ukiumwa kuna madawa na madaktari hospitali, polisi na jeshi linakesha usiku kucha kukulinda ili ufanye biashara salama... Yote haya yanahitaji fedha ili kuyaendesha.. Sasa wewe hutaki kulipa kodi kwanini?? Mbona wafanyakazi wanakatwa pesa nyingi tu na hawalalamiki?? Huu ni wakati wa kufanya biashara kisomi na kuacha market forces ndio ziamue bei sio kila mfanyabiashara ajiamulie tu bei kwakuwa wengine walikuwa wanakwepa kodi basi wanauza rahisi na kupata pesa nyingi..
 
Usajili wa bodaboda kutoka 45000 hadi 90000 ! Mnawatoza kodi lakini mnawapangia njia za kupita !
 
Unatoka nyumbani kwako unapanda gari unapita barabara ya lami, huko njiani kuna traffic au mataa yanakuongoza, ukiumwa kuna madawa na madaktari hospitali, polisi na jeshi linakesha usiku kucha kukulinda ili ufanye biashara salama... Yote haya yanahitaji fedha ili kuyaendesha.. Sasa wewe hutaki kulipa kodi kwanini?? Mbona wafanyakazi wanakatwa pesa nyingi tu na hawalalamiki?? Huu ni wakati wa kufanya biashara kisomi na kuacha market forces ndio ziamue bei sio kila mfanyabiashara ajiamulie tu bei kwakuwa wengine walikuwa wanakwepa kodi basi wanauza rahisi na kupata pesa nyingi..
Sijawahi kukwepa kodi mkuu, tukisema VAT iwekwe kila mahali watu watashindwa, huo ndio msingi wa hoja yangu.
 
ujue mimi sijakuelewa point yako mpaka sasa especially kwenye hiyo kupanda kutoka mil 5 hadi mil 10.nikuulize huko kupanda kwa hiyo kitu kina muathiri vipi mfanyabiashara maana hiki ni kitu unnecessary kabisa....
Sasa kama sio kitu muhimu huoni hapo serikali itapata hasara maana watu wataamua kuachana nacho, sasa hiyo pesa waliotegemea kuipata si wataikosa
 
Usajili wa bodaboda kutoka 45000 hadi 90000 ! Mnawatoza kodi lakini mnawapangia njia za kupita !

Kwani mfanyabiashara wa bodaboda mambo yake yakikaa uzuri, kwa siku anapata kiasi gani kwa kukadiria?
 
Kwani mfanyabiashara wa bodaboda mambo yake yakikaa uzuri , kwa siku anapata kiasi gani kwa kukadiria?
Lengo la biashara yoyote kwanza ni kumneemesha mwenye mali, then kidogo kinatakiwa kiingie serikalini kupitia kodi, sasa msiwafanye watu wafanye biashara kwa ajili ya kulipa kodi tu.
 
Nimeiangalia bajeti yake kwa umakini na inaonyesha kama imewalenga hasa wafanyabiashara, sijui lengo lake nini, kuwakomoa? Hivi kuna nchi inaweza kusonga bila wafanyabiashara?

Kwa mfano kutoza VAT kwenye miamala ya simu pamoja na kumgusa kila mtu lakini wafanyabiashara ndio watakaoathirika zaidi, maana badala ya mtu kutuma hela mbagala kwa simu sasa atapanda daladala na kupeleka kwa mkono.Hili la kuendelea kutegemea bia na sigara kwenye kodi litaua viwanda ambavyo ni tegemeo kubwa la ajira.

Ifahamike kwamba hakuna mfanyakazi wa serikali ya Tanzania aliyewahi kusajili namba binafsi kwenye gari lake, sasa kupandisha ada hii kwa 100% yaani kutoka mil 5 hadi mil10 ni kuwakomoa wafanyabiashara bila sababu yoyote.

Mtu yeyote aliyewahi kupata uzoefu kwenye biashara ambaye anazijua changamoto zake hawezi kuleta bajeti inayokandamiza sekta hii kwa kiwango ambacho ni hakika kuna viwanda na biashara kadhaa hazitaweza kumudu.

Sheikh vipi na wewe ni kilaza kwani
 
Back
Top Bottom