Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
hapa tunahitaji great thinkers, mipasho yako peleka kwenye vipeperushi vya UDAKU
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umemfunga mpinzani wako miguu na mikono then upo ulingoni unamwambia apigane ataweza kweli?
Sasa makamanda gani nyie mnakubali kirahisi kufungwa mikono kizembe, si mtakuwa magasho?!.
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Wanasimamia miguu, sijui we mwenzetu unasimamia Makalio?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ivi kweli CCM wakati ikifiksha miaka 20 ilikua haina ofisi?
CCM haijawahi kujenga Ofisi! Ofisi Kuu Dodoma imejengwa na CHINA COMMUNIST PARTY! Ofisi ndogo ya Lumumba hivyohivyo! Ofisi za Mikoani zote imepora majengo ya Serikali! Jiulize Fedha kutoka kwenye Rasilimali zote walizonazo zinaenda wapi?
 
Wanasimamia Sera za Mange Kimavi mkuu

Hoja za Ufisadi zilifutika baada ya Nywele za Bluu kujiunga nao
 
Kwanini usijiulize TZ inasimamiwa na kuongozwa na nani, kama kijitu ambacho hata jina lake tu halijulikani kanasimama na kutaja watu hatari kwa usalama wa Taifa then dola inaanza kufuatia tafasiri take nini. Wee Nyani hivi Tanzania inaongozwa na nani???
 
Typical makamanda!

Hamuwezi kujadili hoja.

Mnachoweza ni kumwaga povu tu.

Manyumbuu nyie.
 
'Reasoning capacity' ya Chadema kwa sasa inamtegemea Mange Kimambi. Udaku wa huyu dada ndio sera za Chadema. Tunawaomba Chadema mrudi enzi za Dr. Slaa siyo huu upuuzi mnaofanya kwa sasa wa kusubiria matukio. Wananchi hatujui mnasimamia nini.
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Chadema siku hizi ni chama kilichokosa maono, kazi yao kubwa ni kutetea mafisadi na kulitakia taifa hili machafuko basi.
 
Mkuu kwani mtu anaweza kusimamia kitu gani tofauti na miguu? Tusiharibiane siku asubuhi hii
Jaribu kuelewa swali mkuu, ameuliza "chama kiasimamia nini?" Sio mtu anasimamia nini.
 
Mkuu Ngabu, unaonekana wewe ni wale mabrother fulani waliosoma sekondari miaka ile ya 80 mwishoni kuelekea 90 mwanzoni. Una ile thinking ya kimjinimjini.

Unapiga madongo mazito kwa kutumia lugha fulani isiyo na maumivu ya moja kwa moja, kama vile unamkejeli mtu ambaye mmekaa nae bar na anaanza kulewa halafu anafanya vituko pasipo kujua, kwani pombe inakuwa kazini.

You can write a sacrastic thread but with words so able to hide it, I call it a special talent. Bravo bro.
 
Mkuu Ngabu, unaonekana wewe ni wale mabrother fulani waliosoma sekondari miaka ile ya 80 mwishoni kuelekea 90 mwanzoni. Una ile thinking ya kimjinimjini.

Unapiga madongo mazito kwa kutumia lugha fulani isiyo na maumivu ya moja kwa moja, kama vile unamkejeli mtu ambaye mmekaa nae bar na anaanza kulewa halafu anafanya vituko pasipo kujua, kwani pombe inakuwa kazini.

You can write a sacrastic thread but with words so able to hide it, I call it a special talent. Bravo bro.

Mi ni kibabu!

I’m in my early 60s. Some say I’m in my late 60s.

Nimekula chumvi.
 
Back
Top Bottom