Dr. Ngwazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 723
- 289
Tatizo la Tanzania ni elimu,Elimu, Elimu. Na REDET walishawahi kusema kuwa CCM inaungwa mkono na watu wenye uelewa wa hali ya chini wa hali ya mambo hasa walioko vijijini!!
Kilewella, wewe umepitwa na wakati kweli kweli. Kuutafuta ukaskazini kwenye chadema kama ingekuwa kutafuta madini, basi huna haja ya kufanya explolation, upo waziwazi tu. Huku kwingine lazima uchunguze sana kama ulivyokimbilia kwenye baraza la mawaziri unakuja na viji element. Huna tofauti na waliomwambia Baba wa Taifa wakati wa uongozi wake kwamba baraza lake la mawaziri limejaa wakatoliki, laikini badaye, wakakuta ni yeye Nyerere na sir George Kahama ndio wakatoliki. Au tuwaombe REDET hata kwenye hili!