Kampeni za uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini umezidi kudhihirisha ukanda ndani ya CHADEMA.
Mgombea wa Handeni Mjini aliachwa bila msaada ukilinganisha na mgombea wa Arusha Mjini.
Viongozi wote wakuu wa CHADEMA kama Mbowe wakiongozwa na mwanachama maarufu, Lowassa akishirikiana na Sumaye walipiga kambi Arusha Mjini kumsaidia 'mtu wa kwao' katika kampeni huku yule asiye 'wa kwao' kule Handeni akiachwa bila msaada.
Huhitaji kuingia darasa kufahamu ubaguzi unaofanywa ndani ya CHADEMA based on place where you come from or born! Umuhimu wa mwanachama ndani ya CHADEMA unatokana na sehemu unayotoka.
Mambo yanayofanyika ndani ya CHADEMA huwezi kuyakuta ndani ya CCM.
CHADEMA is not fit for purpose and institutional prejudiced!
Kumbe mkuu weye huelewi yaliokuwa yakitafutwa pale Arusha? CCM wangelitwaa Arusha, hata majimbo mengine yote walioyatwaa wangesahau maumivu. Ndo maana nao wakaipeleka kamati yenye nguvu kinana & co. Ndo maana wakapeleka mikoba yao ya kutosha pale kuwahonga wana Arusha. Ndo maana wakajitahidi saana kuonesha ati Lema hafai. Tangu kipigo chao kwa yule waliyempeleka ubalozi hawajasahau maumivu.
Ka weye ni mfuatiliaji, huwezi linganisha Arusha na Handeni kwa vyovyote vile. Acha siasa kabisa nenda kwenye mipasho yenu ya pwani. Tunajua wazi kuwa; Hakuna WADINI na UKABILA na UFISADI woote ka CCM. Huwa mnatutupia madongo sisi tukianza kujichunguza nyiye mnaingia ndani zaidi kwa nguvu za dola. Nadhani, woga unawajia mkisikia mtu analeta thread yenye mashiko ka huyu aliye wafunua. Msiogope, bado cdm inapendwa. Ishateka Mbeya, sio kaskazini tu, imeshaweka angalao kamzizi Pwani. Taratiib tu, sindano itawaingia, msilieeeee