Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,101
- 24,358
Mwenyekiti jpm - kanda ya ziwa
Naibu bara m. Nyerere -kanda ya ziwa
Msemaji masatu.-kanda ya ziwa
Orodha hii ingekuwa kwa Cdm ingeitwa ukanda but kwa sasa iko sehem mbaya ukiita ukanda wanasema uchochezi
Na cha ajabu watakuja hapa na hoja kwamba unajadri ukanda karne hii.
Huku wakisahau wao washaishikia bango cdm kuwa kina ukanda.
.ccm bana akil zenu zinawatosha wenyewe tu.
Naibu bara m. Nyerere -kanda ya ziwa
Msemaji masatu.-kanda ya ziwa
Orodha hii ingekuwa kwa Cdm ingeitwa ukanda but kwa sasa iko sehem mbaya ukiita ukanda wanasema uchochezi
Na cha ajabu watakuja hapa na hoja kwamba unajadri ukanda karne hii.
Huku wakisahau wao washaishikia bango cdm kuwa kina ukanda.
.ccm bana akil zenu zinawatosha wenyewe tu.