ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Hay wanajamvi wenzangu
Mwenzenu yaliyonisibu hata nashindwa kuyaelezea hapa kwani
huyu mtu anayeitwa Bujibuji simuelewi kabisa kwani alianzisha
kitu hapa kikamshinda na akatokomea nacho kabisa, sasa
simuelewi ana nini? na wala simuelewi alikuwa na lengo gani,
wewe uanzishe thread nzuri na njema kwetu. Watu tukaipenda
na kuifeel kabisa na mwishowe tukaidondokea na kuizimikia kabisa.
Sasa cha kushangaza jamani huyu mtu ndo akaondoka mzimamzima
kabisa bila kutupa maelekezo yoyote yale na akawapanga watu katika
majukumu mbalimbali ya kufanya kwa hiyo kitu anachotaka kuanzisha,
halafu yeye akatokomea kabisa na wala hajatukumbushia
kwanini alifanya vile.?
Waungwana leo nimeona nimwambie ukweli wake hapa kwani nini
aanzishe kitu halafu hasikitimize kwa wakati wake, au alikuwa
anatujoke kiaina hapa, jamani waungwana naomba mnisaidie nanyi
huyu mtu Bujibuji tumfanyaje? Si mnakumbuka kuwa alianzisha kitu
hiki CHITCHAT PRAISE AND WORSHIP TEAM? akasema kuwa atafanya
maarifa ili kukiendeleza mpaka leo hii naandika hapa hakuna chochote
alichokifanya wala hakuna lolote alilotuambia, TUMFANYAJE MTU HUYU?
si afunguliwe mshtaka, mtaamua mumfanyeje au mumufungulie
mshtaka ya kosa la jinai katika kifungu cha 6 ibara ya 17 nadhani hapo
patamtosha haya jukumu lenu wanachitchat
Sasa jukumu hili nawaachie wenyewe waungwana mm nanawa mikono
kwani sina hatia na mtu huyu kaka bujibuji
Mwenzenu yaliyonisibu hata nashindwa kuyaelezea hapa kwani
huyu mtu anayeitwa Bujibuji simuelewi kabisa kwani alianzisha
kitu hapa kikamshinda na akatokomea nacho kabisa, sasa
simuelewi ana nini? na wala simuelewi alikuwa na lengo gani,
wewe uanzishe thread nzuri na njema kwetu. Watu tukaipenda
na kuifeel kabisa na mwishowe tukaidondokea na kuizimikia kabisa.
Sasa cha kushangaza jamani huyu mtu ndo akaondoka mzimamzima
kabisa bila kutupa maelekezo yoyote yale na akawapanga watu katika
majukumu mbalimbali ya kufanya kwa hiyo kitu anachotaka kuanzisha,
halafu yeye akatokomea kabisa na wala hajatukumbushia
kwanini alifanya vile.?
Waungwana leo nimeona nimwambie ukweli wake hapa kwani nini
aanzishe kitu halafu hasikitimize kwa wakati wake, au alikuwa
anatujoke kiaina hapa, jamani waungwana naomba mnisaidie nanyi
huyu mtu Bujibuji tumfanyaje? Si mnakumbuka kuwa alianzisha kitu
hiki CHITCHAT PRAISE AND WORSHIP TEAM? akasema kuwa atafanya
maarifa ili kukiendeleza mpaka leo hii naandika hapa hakuna chochote
alichokifanya wala hakuna lolote alilotuambia, TUMFANYAJE MTU HUYU?
si afunguliwe mshtaka, mtaamua mumfanyeje au mumufungulie
mshtaka ya kosa la jinai katika kifungu cha 6 ibara ya 17 nadhani hapo
patamtosha haya jukumu lenu wanachitchat
Sasa jukumu hili nawaachie wenyewe waungwana mm nanawa mikono
kwani sina hatia na mtu huyu kaka bujibuji
Last edited by a moderator: