Hivi Bujibuji nikueleweje?

Hivi Bujibuji nikueleweje?

Tena maombi yenyewe itabidi nifunge mfungo mkavu nisile nisinywe kwa ajili yake kwa kuponya moyo wake kwani hata sasa simuelewi mwenzenu sijiiu kama nyie mnamuelewa vizuri huyu Bujibuji
My stevoh ..miss you dear..
Huyu Bujibuji anahitaji maombi .toka white party haeleweki tena
 
Last edited by a moderator:
sasa mbona unamlaumu majany amekukosea nini tena wewe tengeneza mahali pako palipoharibika kisha ndo uanze kwa mwenzako watoa boriti ilhali kibanzi kiko kwako?
majany kweli nimeamini uhuni hauna tiba.
Kijana ni muhuni wewe, hadi shetani anakuogopa.
Makosa uyafanye wewe kwa mwana mwema binti Sayuni Zion Daughter kisha lawama unitupie mimi.
Kuhusu kusemwa tu, mbona hata Yesu walisema anatoa pepo kwa nguvu za giza?
 
Last edited by a moderator:
ukifanya hivyo kikwelikweli hata Nicas Mtei naye atafanya ili tumuweke sawa nduguyetu kwani tumepewa kondoo huyu tukimpoteza tutaulizwa na Mungu yuko wapi yule mtoto niliyewaambia mumlishe ili akue kiroho tutajibu nini si tutakataliwa siye. bigup mwana
Usijali mtumishi..Napanda mlimani kwa ajili yako.Hata majany anahitaji maombi pia
 
Last edited by a moderator:
HII IKITU IMENIKUNA SANA MPAKA NIMEIPASTE HAPA KWANI WEWE HUJUI KUWA USHAUZWA HUKO CHINA HUKUMUONA RAISI WA CHINA ALIVYOKUJA HAPA KUTEMBELEA KWETU NA NI NCHI YAKE PIA SHAURIROOOO
Kwanin tuuze vipande vipande??
Mara Ikulu, mara Kambi ya gongo la mboto, sijui makongo na mbagala.
Ushauri wangu ni kua nchi NZIMA ni potential kwa uwekezaji kwa jinsi ilivyojaliwa. Tuiuze tu jumla, tutapata bei nzuri ya kutosha kulipia madeni tunayodaiwa nje na kiasi kilichobaki kuweza kugawana.
Hii mambo ya kuuza vipande vipande watatulalia hawa wawekezaji...by shark!!
 
SASA KAMA KAFIKIA KWENYE MIONDOKO YA NAMNA HII ITABIDI NIALIKE TIMU HUMU NDANI YA JF YA MAOMBI KWA AJILI YAKE MAANA SASA IMEFIKIA PABAYA ACHA NIANZE SASA KUIITA HIYO TIMU YA MAOMBI WAUNGWANA WAPENDWA KUJENI HAPA TUMKABIDHI NDUGU YETU KWENYE FARAGA YA MBINGUNI HAYA NJOO charminglady, gfsonwin, Nicas Mtei, Mentor, Madame B, Mamndenyi, Zion Daughter, watu8, kaka Erickb52, Arushaone, Ruttashobolwa, (Baba V, ila usiwe mkolofi hapa na uwe mwenye maombi), Mr. Rocky, Kakaiiza, Mpenda Yesu, stevoh, sokwe, Bakulutu, sweetylady, Mtambuzi, RUKAzwe, snowhite hii ndo timu yangu ya maombi naomba mje tumsaidie huyu kwenye maombi anahitaji maombi kweli ya ziada ndugu yetu Bujibuji
Miondoko yake ni hii........
View attachment 88879
 
Last edited by a moderator:
SASA KAMA KAFIKIA KWENYE MIONDOKO YA NAMNA HII ITABIDI NIALIKE TIMU HUMU NDANI YA JF YA MAOMBI KWA AJILI YAKE MAANA SASA IMEFIKIA PABAYA ACHA NIANZE SASA KUIITA HIYO TIMU YA MAOMBI WAUNGWANA WAPENDWA KUJENI HAPA TUMKABIDHI NDUGU YETU KWENYE FARAGA YA MBINGUNI HAYA NJOO charminglady, gfsonwin, Nicas Mtei, Mentor, Madame B, Mamndenyi, Zion Daughter, watu8, kaka Erickb52, Arushaone, Ruttashobolwa, (Baba V, ila usiwe mkolofi hapa na uwe mwenye maombi), Mr. Rocky, Kakaiiza, Mpenda Yesu, stevoh, sokwe, Bakulutu, sweetylady, Mtambuzi, RUKAzwe, snowhite hii ndo timu yangu ya maombi naomba mje tumsaidie huyu kwenye maombi anahitaji maombi kweli ya ziada ndugu yetu Bujibuji
ili maombi kwa Bujibuji yafanye kazi ni lazima tufunge na kuomba!plus cha arusha juu!au nimeharibu!?
 
Last edited by a moderator:
sidhani kama nina neno lolote la kusema kwa ajili ya uponywaji wa Bujibuji
kwani ni lazima watu wote tuende peponi na jehanamu nayo inahitaji wanachama
 
Last edited by a moderator:
Wiki yote hii ya sikukuu Bujibuji ana msiba ladyfurahia.. Gari yake imedondokewa na kifusi cha mchanga wa ghorofa lililodondoka pale mtaa wa Gandhi na Morogoro.. Nikasikia akaamua kwenda kulichukua lile gari alilomuhonga nanihii.. Akakuta yule nanihii ameshabadilisha na jina kwenye kadi.. Naomba kwa sasa mumuache Bujibuji maana amechanganyikiwa..

Sosi: saudari..
 
Last edited by a moderator:
Wiki yote hii ya sikukuu Bujibuji ana msiba ladyfurahia.. Gari yake imedondokewa na kifusi cha mchanga wa ghorofa lililodondoka pale mtaa wa Gandhi na Morogoro.. Nikasikia akaamua kwenda kulichukua lile gari alilomuhonga nanihii.. Akakuta yule nanihii ameshabadilisha na jina kwenye kadi.. Naomba kwa sasa mumuache Bujibuji maana amechanganyikiwa..

Sosi: saudari..
sosoliso umesahau kuwa FEDHA NA DHAHABU NI MALI YA BWANA?
Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni mtaona?

Kila kitu ni ubatili mtupu.
 
ladyfurahia naomba umuondoe Madame B kwenye hiyo timu, hapana nimegoma kabisa, upako wenu woooote utapotelea kusiko julikana
SASA KAMA KAFIKIA KWENYE MIONDOKO YA NAMNA HII ITABIDI NIALIKE TIMU HUMU NDANI YA JF YA MAOMBI KWA AJILI YAKE MAANA SASA IMEFIKIA PABAYA ACHA NIANZE SASA KUIITA HIYO TIMU YA MAOMBI WAUNGWANA WAPENDWA KUJENI HAPA TUMKABIDHI NDUGU YETU KWENYE FARAGA YA MBINGUNI HAYA NJOO charminglady, gfsonwin, Nicas Mtei, Mentor, Madame B, Mamndenyi, Zion Daughter, watu8, kaka Erickb52, Arushaone, Ruttashobolwa, (Baba V, ila usiwe mkolofi hapa na uwe mwenye maombi), Mr. Rocky, Kakaiiza, Mpenda Yesu, stevoh, sokwe, Bakulutu, sweetylady, Mtambuzi, RUKAzwe, snowhite hii ndo timu yangu ya maombi naomba mje tumsaidie huyu kwenye maombi anahitaji maombi kweli ya ziada ndugu yetu Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
sosoliso umesahau kuwa FEDHA NA DHAHABU NI MALI YA BWANA?
Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni mtaona?

Kila kitu ni ubatili mtupu.

Uwiii saudari hebu njoo nijuze.. Bujibuji unaemjua wewe ni huyu au kuna mtu anatumia akaunti yake..? Hekima hii tunayoonyeshwa hapa kama ni yeye kweli basi anataka kupigwa mtu changa la macho..
 
Last edited by a moderator:
Uwiii saudari hebu njoo nijuze.. Bujibuji unaemjua wewe ni huyu au kuna mtu anatumia akaunti yake..? Hekima hii tunayoonyeshwa hapa kama ni yeye kweli basi anataka kupigwa mtu changa la macho..

Hapo kuna mtu anategwa aingie kingi. Bujibuji ni mbayaaa wewe!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini nimuondoe na wakati yeye ni kiongozi katika timu yangu na tena yeye nimeona anafaa sana kuliko wengine, kakufanya nini mpaka nimuondoe hapo nielezee?
ladyfurahia naomba umuondoe Madame B kwenye hiyo timu, hapana nimegoma kabisa, upako wenu woooote utapotelea kusiko julikana
 
ndgu yangu hatumwezi kumuacha kwani hayo yote yanampata tokana ajakaa vizuri kwa Mungu wake hivyo anaihitaji delivarance ya hali aya juu sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom