Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,055
GoodOnce a day..
GoodOnce a day..
Ila hata hivyo kosa langu...tulikuwa tunajadili simba mie nikataja huko unitedSitarudia tena, kweli nilijua unaelewa kama nakutania.
Ntajitahidi niwe siisemi vibaya Man Utd ukiwepo.
Imani za kigangster mkuuUko sawa mkuu, asa wengine sijui wana imani gani
Basi mtoto mzuri, mi nilikuwa natania tu bhana! Sema itabidi ukaichome na ile mishuka!Unaniabisha bwana unataka nionekane nimeshindwa kazi?
Ila hata hivyo kosa langu...tulikuwa tunajadili simba mie nikataja huko united
HahahahMichezo ni topic pana, hata mimi nilichoandika kuhusu Simba vs Sevilla ni ushabiki, siyo uhalisia.
NB: Niko nasoma moto wako kwenye thread ya 10+ years age differential.
Basi mtoto mzuri, mi nilikuwa natania tu bhana! Sema itabidi ukaichome na ile mishuka!
Hahahah
Nabishana hadi naanza kusikia njaa sasa...ila lengo halikuwa kama wanavyomanisha ila wabadilike bhana
Nakushauri uachane na hiyo topic.
Usiendelee kujibu, au jaribu kuifafanua ieleweke.
12Hrs angalau usimalize pafume ya bibie....Swali kwa wadau wote wa boxer.
Swali jepesi sana.
Mimi kawaida huwa na vaa boxer miezi 6 hadi 8 kisha ndo nafua huyo ni mimi.
Siijajua kwa ninyi wadauu
Kuwa mkwelii tu
View attachment 1103899
Nafafanua ili nieleweke ila maandishi hayafai
Sijui nitume voice note ya maelezo
Ndo maana nakupenda we mtoto, sema tu sometime unazingua!Nimeichoma yote
Nimekuzingua nini tena mpenziNdo maana nakupenda we mtoto, sema tu sometime unazingua!
Nahisi kuna vivulana hapa vinakupigia misele huku nikikuona it's a matter of time watacheza heko 💔💔!! I'm not insecure my angel but oh Lord, my heart keep spinning every time I see that guy so called RRONDO akijifanya eti ndugu yako! Is he?Nimekuzingua nini tena mpenzi
😀😀😀napita ndioTicha unapita huku kumbe!
Niliwekewa masharti no usafi no game, ndiyo akili ikanikaa.
Imani za kigangster mkuu
Swali kwa wadau wote wa boxer.
Swali jepesi sana.
Mimi kawaida huwa na vaa boxer miezi 6 hadi 8 kisha ndo nafua huyo ni mimi.
Siijajua kwa ninyi wadauu
Kuwa mkwelii tu
View attachment 1103899