Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
[/COLOR]
aingie kufanya nini? mie hapana.
Anaingia kukusaidia usafi chumbani kwako na kama haupo anakusaidia vile vile kujiexpress na mzee wkt wewe umechoka.
[/COLOR]
aingie kufanya nini? mie hapana.
Mwee!!!
aingie kufanya nini? mie hapana.
Anaingia kukusaidia usafi chumbani kwako na kama haupo anakusaidia vile vile ...
shost hapo nakuunga mikono na miguuu yote? kumtamanisha mwizi dhambi shost maana hujaamwachia house kazi hizo nanga inapaa je ukimwachia? akaina fide, GP na mbu wamepata sababu ya kuvunja amri ya sita na beki tatu
......... mh agika hawa bwana hata uwabebe mgongoni akishakuwa tempted na h/girl nothing can make him change his mind! Mara moja moja ni sawa hasa weekend unaruhusiwa ila hawana shukrani wala mapenzi hawa!!
..... wengine tulishawahi kuwa tunaamka saa kumi alfajiri kila siku kumtayarishia supu na chapati (tena za kusukuma) na bado tukatendwa
What am insisting ni kuwa pamoja na kuwa ni majukumu ya mke (yatupasa kuyazingatia) kama mume hana maadili atatoka tu hata umfanye nini.
Mwanamume mwenye upendo wa kweli ataelewa majukumu aliyonayo mkewe (kama anazo sababu maalumu za kutomhudumia) na hata kama kitu kitafanywa na housegirl hatamind kabisa na ikiwezekana vile ambavyo anahisi kimaadili si vema housegirl afanye mf. kutandika kitanda, kufua pants e.t.c. atafanya yeye!
......... mh agika hawa bwana hata uwabebe mgongoni akishakuwa tempted na h/girl nothing can make him change his mind! Mara moja moja ni sawa hasa weekend unaruhusiwa ila hawana shukrani wala mapenzi hawa!!
..... wengine tulishawahi kuwa tunaamka saa kumi alfajiri kila siku kumtayarishia supu na chapati (tena za kusukuma) na bado tukatendwa
What am insisting ni kuwa pamoja na kuwa ni majukumu ya mke (yatupasa kuyazingatia) kama mume hana maadili atatoka tu hata umfanye nini.
Mwanamume mwenye upendo wa kweli ataelewa majukumu aliyonayo mkewe (kama anazo sababu maalumu za kutomhudumia) na hata kama kitu kitafanywa na housegirl hatamind kabisa na ikiwezekana vile ambavyo anahisi kimaadili si vema housegirl afanye mf. kutandika kitanda, kufua pants e.t.c. atafanya yeye!
mhhh shost kwahiyo wee waona sawa beki tatu afue pants za mumeo awe anafantasize kinachobebwa pale katikati ya pant? mhhhh na kitanda nacho atandike?......... mh agika hawa bwana hata uwabebe mgongoni akishakuwa tempted na h/girl nothing can make him change his mind! Mara moja moja ni sawa hasa weekend unaruhusiwa ila hawana shukrani wala mapenzi hawa!!
..... wengine tulishawahi kuwa tunaamka saa kumi alfajiri kila siku kumtayarishia supu na chapati (tena za kusukuma) na bado tukatendwa
What am insisting ni kuwa pamoja na kuwa ni majukumu ya mke (yatupasa kuyazingatia) kama mume hana maadili atatoka tu hata umfanye nini.
Mwanamume mwenye upendo wa kweli ataelewa majukumu aliyonayo mkewe (kama anazo sababu maalumu za kutomhudumia) na hata kama kitu kitafanywa na housegirl hatamind kabisa na ikiwezekana vile ambavyo anahisi kimaadili si vema housegirl afanye mf. kutandika kitanda, kufua pants e.t.c. atafanya yeye!
mhhh shost kwahiyo wee waona sawa beki tatu afue pants za mumeo awe anafantasize kinachobebwa pale katikati ya pant? mhhhh na kitanda nacho atandike?
Mwe haya mambo akina PG ,Mbu FIde mpo? sio kazi kutuonea tuuuuuu chumbani sio madhabuni babuuuu mmeipata hiyo?Unajua kuna kitu ambacho tunashindwa kujua ni kuwa hata kama housegirl ingekuwa kazi yake ni kuteka maji na kupika tu basi huyo mwanaume(Mume) akiamua kutembea na huyo binti atatembea naye tu.
Ni kama alivyosema MwanajamiiOne kuwa wengine waliamka na kuwapikia chapati sijui za kumimina lakini bado walitendwa tu. Ninachotaka kusema ni kwamba suala la housegirl kufanya mapenzi na Mume siyo eti kwasababu anadeki mpaka chumbani au anatandika kitanda kwahiyo Mume ameona ufanisi wa housegirl ni mkubwa kuliko wa Mkewe. No, hapana, hii naipinga kabisa bali ni hulka ya mtu binafsi. Na ukiona mwanaume amefanya kitendo hiki halafu akatoa sababu hizo hapo juu atakuwa mwendawazmu na mpumbavu. Hutakiwi kumu-award housegirl mapenzi kwa kuwa anafanya kazi vizuri.
Basi kama ndio hivyo uku maofisini ingekuwa kila mfanyakazi anayefanya kazi vizuri angekuwa anakuwa awarded mmapenzi bila ya kujali kama huyu ni mwanamke au mwanaume. Mimi naona huu ndio utaahira wa wanaume wenzangu, kwani uko chumbani ni madhabahuni kwahiyo wassingie watu wengie zaidi ya mume na mke?
Mimi nafikiri sababu ya mume kutembea na housegirl iwe ni kuwa amemtamani kama ambavyo anamtamani mwanamke mwingine yeyote. Tuache kuwaonea wake zetu na kuwadhalilisha wake zetu eti kwa kisa housegirl anafanya sana kazi za ndani mpaka chumbani anaingia
mhhh shost kwahiyo wee waona sawa beki tatu afue pants za mumeo awe anafantasize kinachobebwa pale katikati ya pant? mhhhh na kitanda nacho atandike?
whaaat? hahhahahah haya makubwa kuanzia leo ntaajiri mahouse gal wenye sura za kutisha na maumbo yasioeleweka,
kwan ndo dawa? mimi nilidhan ungesema kuanzia leo umekoma na hautomwachia h/girl atandike kitanda na hata kumwekea mzee maji bafun,
ukimleta mmbaya atapendeza mwishowe utaanza lau ningejua?????????????!!!!!!
oooooh hapo sawa mama, ila mhhh miafrika hiiii MJO hawathubutu kazi yao kuuliza tu, mbona boxers hazipo kwenye droo? kutandika kitanda ndo kabisaa hata kama alisoma boarding school anajifanya kama hajui vileHujanielewa shost nimesema zile kazi ambazo kimaadili hazitakiwi kufanywa na housegirl basi afanye yeye ndo nikatoa mfano wa kutandika kitanda na kufua pants zake shost lol
kumbe sio dawa eee?kwan ndo dawa? mimi nilidhan ungesema kuanzia leo umekoma na hautomwachia h/girl atandike kitanda na hata kumwekea mzee maji bafun,
ukimleta mmbaya atapendeza mwishowe utaanza lau ningejua?????????????!!!!!!
hahahahhahahaha mbaavu sina mummy basi kazi tunayo,.......... Naona kasahau ubaya wa sura si ubaya wa ................... mana anaweza kuwa mkali wa mahaba mabembelezo, sauti tu aibanavyo na kuitoa kwa upole dad akavutiwa ajaribu akijidai sura haidhuru mara moja tu sirejei tena kisha loo kutahamaki kafika kwenye linta!
hahahahhahahaha mbaavu sina mummy basi kazi tunayo,
...Mimi nafikiri sababu ya mume kutembea na housegirl iwe ni kuwa amemtamani kama ambavyo anamtamani mwanamke mwingine yeyote.
Tuache kuwaonea wake zetu na kuwadhalilisha wake zetu eti kwa kisa housegirl anafanya sana kazi za ndani mpaka chumbani anaingia
hahahahhahahaha mbaavu sina mummy basi kazi tunayo,