hahahhahahhahaha GP mbona waniwakia mie jamani? mie mwenyewe nataka kujuzwa je upande wa pili ambao ndio akina baba huwa mnaridhika au ndo mnaamua kuyanyamazia tuuu?hii haijatulia bana, hata weekend kweli?, au wengine utakuta kaolewa ana mwaka tu hata mimba hana anaweka housegirl, wa nini sasa?
na mahousegirl wa siku hizi wajanja, wana mitego hao!, utashangaa muda mfupi nawaka, anavutia, ana meremeta saluni ameshaijua utamkamatia wapi?, anatandika mpaka kitanda cha bosi, hapo akifanya mapinduzi we mama mwenye nyumba utamlalamikia nani sasa?, mpe maji mumeo, mpikie etc siku za weekend bana, wacha kujisahau!, alaa
Pale mkeo au mwenzio anapomwachia housegirl kila kazi hata weekend? kutandika kitanda, kukupikia, kukutarayirishia chakula mezani, maji ya kuoga mhhhh.....................ndio uzungu au sie wengine tumepitwa na wakati?
...(dont quote me wrong) binafsi sitojali hasa pale huyo 'msaidizi' akiwa analipa kuanzia usafi, tabia, sura na umbile, nk...
whaaat? hahhahahah haya makubwa kuanzia leo ntaajiri mahouse gal wenye sura za kutisha na maumbo yasioeleweka,...(dont quote me wrong) binafsi sitojali hasa pale huyo 'msaidizi' akiwa analipa kuanzia usafi, tabia, sura na umbile, nk...
Uwwwiiiiiiiiii hivi akina MJO wanajua hili?Yeah its tempting but true.
whaaat? hahhahahah haya makubwa kuanzia leo ntaajiri mahouse gal wenye sura za kutisha na maumbo yasioeleweka,
mhhh fide acha hizo bana si wote tunafanya kazi jamani tunarudi wote tumechoka mwe!!Kama house girl ananifanyia kila kitu basi mke wangu ana haki ya kupoteza namba yake ya kudumu akapokwa na house girl fikiria chakula kizuri,amenyoosha vizuri amepamba nyumba vizuri nimsifie nani?????????kama si house girl what next........kujixpress kiwizi wizi na baby beki 3.
hahahaha mwenzangu bora watoto watishike kuliko baba mtu kupata nyumba ndogo ndani ya nyumba kubwa mhhh...Mungu wangu, yanini kuwatisha watoto bure, unataka wasilale usiku?
mhhh fide acha hizo bana si wote tunafanya kazi jamani tunarudi wote tumechoka mwe!!
hahahhahahhahaha GP mbona waniwakia mie jamani? mie mwenyewe nataka kujuzwa je upande wa pili ambao ndio akina baba huwa mnaridhika au ndo mnaamua kuyanyamazia tuuu?
...Wanawake mwiko kuwaruhusu beki kutingia vyumbani wanaume siku hizi aibu hawana ikistand tu utakuta kafanya k2 mbaya uanze lawama na HG
shost hapo nakuunga mikono na miguuu yote? kumtamanisha mwizi dhambi shost maana hujaamwachia house kazi hizo nanga inapaa je ukimwachia? akaina fide, GP na mbu wamepata sababu ya kuvunja amri ya sita na beki tatuhahaha beki tatu zina kila talent basi huwa hatujui. Mimi wangu lazima nimtoe kila weekend akatembelee ndugu zake kazi anakuta nimefanya ajue kuwa naweza siyo kama asipokuwepo basi nimezubaa. Kutandika kitanda na usaifi wa chumba marufuku,nikiona uvivu wa kufanya hayoa nafunga chumba naondoka kabla mume hajarudi nakuwa nimeshafanya kila kitu.
Wanawake mwiko kuwaruhusu beki kutingia vyumbani wanaume siku hizi aibu hawana ikistand tu utakuta kafanya k2 mbaya uanze lawama na HG
Mwee!!!...te hehe, kumbe mu waoga hivyo? vipi akiingia chumbani wakati sote wawili tu chumbani pia?...
kumtamanisha mwizi dhambi shost maana hujaamwachia house kazi hizo nanga inapaa je ukimwachia? akaina fide, GP na mbu wamepata sababu ya kuvunja amri ya sita na beki tatu
...te hehe, kumbe mu waoga hivyo? vipi akiingia chumbani wakati sote wawili tu chumbani pia?...
Uwwwiiiiiiiiii hivi akina MJO wanajua hili?