SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu;
Wakati akihutubia BUNGE siku ya tarehe 30/12/2005 Mjini Dodoma, Rais Kikwete, kati ya moja ya ahadi alizotoa, aliahidi Kujenga Shule za Bweni za Sekondari za Kitaifa nchini. Nitashukuru kujua kama ahadi hii imeanza kutekelezwa na kutimizwa.
Nawasilisha.
Wakati akihutubia BUNGE siku ya tarehe 30/12/2005 Mjini Dodoma, Rais Kikwete, kati ya moja ya ahadi alizotoa, aliahidi Kujenga Shule za Bweni za Sekondari za Kitaifa nchini. Nitashukuru kujua kama ahadi hii imeanza kutekelezwa na kutimizwa.
Nawasilisha.